Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,677
- 26,141
Hujawai kuchanga hata senti tano lakini maneno mengii. Kama unabisha lete ushahidi.Uzuri mjiletea laana wenyewe, huko mbele hata madawati sijui mwenge sijui nini hampati kamwe, tumeshawajua, tunachanga halafu mnagawia wabunge 10m kila mmoja, kweli?