mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Je, ukiulizwa ni kosa gani Mawaziri wamefanya utashindwa kufafanua, hiyo yote ni ushahidi tosha ya kwamba hakuna ulazima wa kuunda Baraza jipya la Mawaziri.
Nikuulize wewe Mwana JF ni kosa gani Mawaziri wamefanya utasemaje? JK Rais wetu tunakuomba sisi Watanzania wenzako achana na porojo za wasioitakia mema nchi hii, huo ni upepo wa kisiasa tu wala usiogope na hata usipoteua Baraza jipya hawana uwezo wowote wa kukutisha.
Usiulize Tanzania itakufanyia nini....Jiulize utaifanyia nini nchi yako Tanzania.
Great Thinker Mzee wa Njaa.
Nikuulize wewe Mwana JF ni kosa gani Mawaziri wamefanya utasemaje? JK Rais wetu tunakuomba sisi Watanzania wenzako achana na porojo za wasioitakia mema nchi hii, huo ni upepo wa kisiasa tu wala usiogope na hata usipoteua Baraza jipya hawana uwezo wowote wa kukutisha.
Usiulize Tanzania itakufanyia nini....Jiulize utaifanyia nini nchi yako Tanzania.
Great Thinker Mzee wa Njaa.