Nenda ccbrt utaona vizuri ndugu alafu utaona vizuri tuAtashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi, ndiyo kwenye uchaguzi.
Rais ajaye katulia tu.c
Hahaha yajayo yanafurahishahaya maneno ni kama yanachekesha au hayana uhalisia
ila kwa miezi miwili now mimi pia sioni kama Samia atakuwa rais wa awamu ijayo
NB: Inawezekana ni ndoto zangu za mchana tu lakini I'm so convinced by it siyo kikawaida
Sema October natiki.Endeleeni kujidanganya
Naona mnajitesa bure kilichowekwa na Mungu kinalindwa na Mungu.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅ Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan
uchaguzi hawezi kushindwa, hata angeshindana na steve nyerere. ni maigizo tu.Atashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi, ndiyo kwenye uchaguzi.
Rais ajaye katulia tu.
OCTOBER TUNATIKI ✅Sema October natiki.
Husituseme tusio ndani ya Moyo WAko
Mbona husomeki ponjoro au na wewe umeungana na polepoleAtashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi, ndiyo kwenye uchaguzi.
Rais ajaye katulia tu.
Mungu ataamua ugomviAtashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi, ndiyo kwenye uchaguzi.
Rais ajaye katulia tu.
RamliAgosti 2025
- Mwezi huu utakuwa na joto la kisiasa, mijadala ya urithi wa uongozi, nguvu za chama tawala (CCM), na masuala ya fedha katika siasa.
- Kinachoweza kutokea: Migongano ya nguvu ndani ya CCM au changamoto wazi kutoka upinzani.
- Hatari: Kuwepo kwa kashfa za kifedha au matumizi mabaya ya fedha za umma. Inawezekana pia kuwe na mabadiliko ya ghafla bungeni.
Septemba 2025
- Huu unaweza kuwa mwezi wa kuaga kiongozi au mwanasiasa mkongwe (kustaafu, kujiuzulu, au kufariki dunia).
- Kinachoweza kutokea: Tukio la kitaifa la kuomboleza linaweza kuibua mjadala wa kisiasa.
- Hatari: Kupoteza mtu mwenye ushawishi mkubwa kisiasa kutaleta nafasi ya mazungumzo kuhusu mustakabali wa uongozi.
Oktoba 2025
- Mwezi huu unaweza kuleta tamko jipya la kisiasa au mpango mpya wa serikali.
- Kinachoweza kutokea: Rais anaweza kufanya uamuzi wa kuthibitisha nguvu yake, au kutokea mabadiliko ya ghafla kwenye baraza la mawaziri.
- Hatari: Harakati za upinzani zinaweza kuanza kupata nguvu mpya.
Novemba 2025
- Mwezi huu kutakuwa na mazungumzo ya ndani kwa ndani, hasa kujenga au kuvunja ushirikiano wa kisiasa.
- Kinachoweza kutokea: CCM inaweza kujaribu kuunganisha nguvu zake, lakini pia hatari ya kugawanyika ipo.
- Hatari: Uvujaji wa taarifa za siri na mikataba isiyojulikana.
Desemba 2025
- Mwezi huu (wa maadhimisho ya Uhuru) viongozi watajitahidi kujionyesha mbele ya wananchi, lakini maneno na ahadi zao zitachunguzwa sana.
- Kinachoweza kutokea: Matamko makubwa ya kisiasa, sherehe, na ahadi nyingi.
- Hatari: Kejeli au maandamano yanaweza kufunika sherehe rasmi.
Januari 2026
- Huu ni mwezi wa utulivu wa juu juu, lakini chini kuna mipango mikubwa inawekwa kwa ajili ya katikati ya 2026.
- Kinachoweza kutokea: Baadhi ya viongozi kuanza kuonyesha nia ya kupanda ngazi au kuwania nafasi kubwa zaidi.
- Hatari: Migawanyiko ya ndani ya serikali inaweza kuvuja hadharani.
Unamkosea sana mungu, mtu anahutubia muda wote kachoka kama analizimishwa ila nawashangaa wanaoenda kumsikiliza, mnamuelewa au mnatumia tu?Endeleeni kujidanganya
Naona mnajitesa bure kilichowekwa na Mungu kinalindwa na Mungu.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅ Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan
Hotuba yake hyo ndo iliyotoongezea mishahara na kutupandisha mishahara na kutuondolea VRF ya HESLB, hiyo ndo inayotupa ruzuku za mbolea huku vjjn, hotuba yake ndyo iliboresha mataala wa Elimu.Unamkosea sana mungu, mtu anahutubia muda wote kachoka kama analizimishwa ila nawashangaa wanaoenda kumsikiliza, mnamuelewa au mnatumia tu?
Silipendi jimama. Lipatwe na baya tuAtashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi, ndiyo kwenye uchaguzi.
Rais ajaye katulia tu.
Weeee nani kasema???? Mitano tena Kwa mama
Hata Mimi najua kunako majaaaliwa coz mwenye uhai no Mungu TU na sie yeyote!!Pole sana kumbe akili yenu ndo hyo.
Mpaka 2030 tupo na chief Hangaya
Mimi natamani nimpate mtoto mwenye bahati kama samiah!!!Silipendi jimama. Lipatwe na baya tu