Sioni Rais Samia akiongoza miaka 5 ijayo.

Sioni Rais Samia akiongoza miaka 5 ijayo.

Endeleeni kujidanganya
Naona mnajitesa bure kilichowekwa na Mungu kinalindwa na Mungu.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅ Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan
 
haya maneno ni kama yanachekesha au hayana uhalisia

ila kwa miezi miwili now mimi pia sioni kama Samia atakuwa rais wa awamu ijayo

NB: Inawezekana ni ndoto zangu za mchana tu lakini I'm so convinced by it siyo kikawaida
 
Endapo atakiuka miiko ya mganga jk hatatoboa ila akikubali tu kwenda kuoga nae njia panda atamaliza vzr tu
 
Kweli kila jambo na wakati wake kuna wakati wakulia na kuna wakati wakucheka. Kuna wakati wa uchawa na kuna wakati wa uchuro.
Saa hizi uchuro hauna mpinzani
ChoiceVariable
Tlaatlaah
 
Endeleeni kujidanganya
Naona mnajitesa bure kilichowekwa na Mungu kinalindwa na Mungu.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Narudia tena OCTOBER TUNATIKI ✅ Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan
Wa kujibishana na wewe atatakiwa akapimwe
 
Agosti 2025

  • Mwezi huu utakuwa na joto la kisiasa, mijadala ya urithi wa uongozi, nguvu za chama tawala (CCM), na masuala ya fedha katika siasa.
  • Kinachoweza kutokea: Migongano ya nguvu ndani ya CCM au changamoto wazi kutoka upinzani.
  • Hatari: Kuwepo kwa kashfa za kifedha au matumizi mabaya ya fedha za umma. Inawezekana pia kuwe na mabadiliko ya ghafla bungeni.

Septemba 2025

  • Huu unaweza kuwa mwezi wa kuaga kiongozi au mwanasiasa mkongwe (kustaafu, kujiuzulu, au kufariki dunia).
  • Kinachoweza kutokea: Tukio la kitaifa la kuomboleza linaweza kuibua mjadala wa kisiasa.
  • Hatari: Kupoteza mtu mwenye ushawishi mkubwa kisiasa kutaleta nafasi ya mazungumzo kuhusu mustakabali wa uongozi.

Oktoba 2025

  • Mwezi huu unaweza kuleta tamko jipya la kisiasa au mpango mpya wa serikali.
  • Kinachoweza kutokea: Rais anaweza kufanya uamuzi wa kuthibitisha nguvu yake, au kutokea mabadiliko ya ghafla kwenye baraza la mawaziri.
  • Hatari: Harakati za upinzani zinaweza kuanza kupata nguvu mpya.

Novemba 2025

  • Mwezi huu kutakuwa na mazungumzo ya ndani kwa ndani, hasa kujenga au kuvunja ushirikiano wa kisiasa.
  • Kinachoweza kutokea: CCM inaweza kujaribu kuunganisha nguvu zake, lakini pia hatari ya kugawanyika ipo.
  • Hatari: Uvujaji wa taarifa za siri na mikataba isiyojulikana.

Desemba 2025

  • Mwezi huu (wa maadhimisho ya Uhuru) viongozi watajitahidi kujionyesha mbele ya wananchi, lakini maneno na ahadi zao zitachunguzwa sana.
  • Kinachoweza kutokea: Matamko makubwa ya kisiasa, sherehe, na ahadi nyingi.
  • Hatari: Kejeli au maandamano yanaweza kufunika sherehe rasmi.

Januari 2026

  • Huu ni mwezi wa utulivu wa juu juu, lakini chini kuna mipango mikubwa inawekwa kwa ajili ya katikati ya 2026.
  • Kinachoweza kutokea: Baadhi ya viongozi kuanza kuonyesha nia ya kupanda ngazi au kuwania nafasi kubwa zaidi.
  • Hatari: Migawanyiko ya ndani ya serikali inaweza kuvuja hadharani.
 
Agosti 2025

  • Mwezi huu utakuwa na joto la kisiasa, mijadala ya urithi wa uongozi, nguvu za chama tawala (CCM), na masuala ya fedha katika siasa.
  • Kinachoweza kutokea: Migongano ya nguvu ndani ya CCM au changamoto wazi kutoka upinzani.
  • Hatari: Kuwepo kwa kashfa za kifedha au matumizi mabaya ya fedha za umma. Inawezekana pia kuwe na mabadiliko ya ghafla bungeni.


Septemba 2025

  • Huu unaweza kuwa mwezi wa kuaga kiongozi au mwanasiasa mkongwe (kustaafu, kujiuzulu, au kufariki dunia).
  • Kinachoweza kutokea: Tukio la kitaifa la kuomboleza linaweza kuibua mjadala wa kisiasa.
  • Hatari: Kupoteza mtu mwenye ushawishi mkubwa kisiasa kutaleta nafasi ya mazungumzo kuhusu mustakabali wa uongozi.


Oktoba 2025

  • Mwezi huu unaweza kuleta tamko jipya la kisiasa au mpango mpya wa serikali.
  • Kinachoweza kutokea: Rais anaweza kufanya uamuzi wa kuthibitisha nguvu yake, au kutokea mabadiliko ya ghafla kwenye baraza la mawaziri.
  • Hatari: Harakati za upinzani zinaweza kuanza kupata nguvu mpya.


Novemba 2025

  • Mwezi huu kutakuwa na mazungumzo ya ndani kwa ndani, hasa kujenga au kuvunja ushirikiano wa kisiasa.
  • Kinachoweza kutokea: CCM inaweza kujaribu kuunganisha nguvu zake, lakini pia hatari ya kugawanyika ipo.
  • Hatari: Uvujaji wa taarifa za siri na mikataba isiyojulikana.


Desemba 2025

  • Mwezi huu (wa maadhimisho ya Uhuru) viongozi watajitahidi kujionyesha mbele ya wananchi, lakini maneno na ahadi zao zitachunguzwa sana.
  • Kinachoweza kutokea: Matamko makubwa ya kisiasa, sherehe, na ahadi nyingi.
  • Hatari: Kejeli au maandamano yanaweza kufunika sherehe rasmi.


Januari 2026

  • Huu ni mwezi wa utulivu wa juu juu, lakini chini kuna mipango mikubwa inawekwa kwa ajili ya katikati ya 2026.
  • Kinachoweza kutokea: Baadhi ya viongozi kuanza kuonyesha nia ya kupanda ngazi au kuwania nafasi kubwa zaidi.
  • Hatari: Migawanyiko ya ndani ya serikali inaweza kuvuja hadharani.
Mkuu tulia achana na hzo lamr zako. uchaguzi utafanyika Samia atashinda ataapishwa atateua Baraza la mawazir, mbolea za ruzuku na mishahara itapanda na kazi itaendelea
 
Unajidanganya ili ujifariji syo
Form imechukuliwa na ss Wananchi tunasema OCTOBER TUNATIKI ✅
Tatizo sio October na fomu kuchukua!hata juzi juzi tu Ndugai alishinda Kwa kishindo akawa anaisubiri October Kwa ham!

October no miezi miwili mbele!!

October nitatick kama kawa!
 
Tatizo sio October na fomu kuchukua!hata juzi juzi tu Ndugai alishinda Kwa kishindo akawa anaisubiri October Kwa ham!

October no miezi miwili mbele!!

October nitatick kama kawa!
Pole sana kumbe akili yenu ndo hyo.
Mpaka 2030 tupo na chief Hangaya
 
Back
Top Bottom