Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Kamtafute Sitta aliyewadhihaki maaskofu umuulize nini maana ya dunia!!!Hata Rwanda viongozi wa dini ndo waliosababisha damu kumwagika,, na wengi wao wanahasira kwa benki zao waliokuwa wanazitumia kujinyakulia pesa kiholela kufungwa