Cilliary muscles
Member
- Jun 7, 2020
- 64
- 62
Apart from Xavi na Iniesta hakuna kiungo Mwenye blaa kama KDB nakubalian na ww
Apart from Xavi na Iniesta hakuna kiungo Mwenye blaa kama KDB nakubalian na ww
Na ulituchangia point 4 nimecheka sanaTuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?
Tuliwahurumia tu unafikiri tusingewachangia hizo points mngekuwa nafasi ya ngapi mpaka sasa ?😀😀😀😀😀😀Na ulituchangia point 4 nimecheka sana
Pogba bado ni habari nyingine.Fernandes kwa hizi mechi hajacheza vibaya ila hastahili maelezo ya huu uzi.
Kwa Daniel James, Pogba, Lukaku, Lingard mlisema hivi hivi na mshaanza kumuita Greenwood van Persie mpya.
Hamjifunzi?
Bangi za Namtumbo ndio hiziBruno kuna mambo anatakiwa ajifunze kutoka kwa Niyonzima Hakizimana Fadhili na Cleutos Chama Cha Mapinduzi ili aweze kuwa na sifa unazompa sasa
KDB kawika akiwa Wolfsburg akaongoza assist duniani pale alikuwa anacheza na akina nani?ila uwa nafikiria KDB akienda man si anapotea kabisa mtu kucheza na watu kama fred na bado unakiwasha si kazi ndogo
Pepe, Ozil na TorreiraTuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?
Mkuu nitajie timu yakoMtakuja kumkataa wenyewe msimu ujao.
Nyie ndo mliwasifu akina na delay falcao Fred do maria Sanchez baily lingard na magarasa kibao bado hamjifunzi nyie women united. Kushinda mechi mbili unatamba hv
Hao wenyewe uliowataja hawana uhakika wa nafasi zao Arsenal Man United watapataje namba?Pepe, Ozil na Torreira
Mashabiki wa ibilisi mwekundu mnashida sanaJamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada. Nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule kaifanya Manchester kuwa timu ya tofauti kabisa.
Hata pale utd ukiacha Bruno na pogba hakuna wa kuingia first eleven ya ArsenalTuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?
😄😄😄😄😄😄Hata pale utd ukiacha Bruno na pogba hakuna wa kuingia first eleven ya Arsenal
Hahahaha umenichekesha ulivyomalizia. Anyway, sijasema Pogba kaisha isipokua projection za mashabiki ndiyo zinafanya jamaa aonekane miyeyusho. Ila hakuna timu itamuweka bench Pogba kama hana majeruhi.Pogba bado ni habari nyingine.
James bado ni mchezaji mzuri kwa umri wake bado anakua.
Lingard ni takataka.
Acha utani wewe..unaelewa maana ya first X1?Pepe, Ozil na Torreira