- Thread starter
- #181
ZITTO KASHAANZA TAYARI...... Wengine wapo kimya.. Hii inaonyesha jinsi gani anatamaa kama za kikwete alivyokuwa anataka urais
Mkuu wangu yetu macho.
ZITTO KASHAANZA TAYARI...... Wengine wapo kimya.. Hii inaonyesha jinsi gani anatamaa kama za kikwete alivyokuwa anataka urais
Zitto hata udiwani hawezi kushinda mwaka 2015, mwenye Not book na ayaandike maneno haya. tuombeane uhai kwa wale mtakaommis Bungeni.
Hatapata kwa kura labda Atapewa Viti maalumu Na JK Kama alivopewa mbatia. Anataka kugombea urais kupitia mgombea binafsi Huyu Hamas huwa a think bigger kabisa
Ni kweli mkuu tumeshamgundua.Anajua kamwe hakuna mtu mwenye akili timamu atakayempitisha kugombea urais kupitia CDM.Njia anayotaka kutumia na kikundi chake cha watu wa CCM ni kumtaka awe mgombea binafsi ili apunguze kura za CDM.
Utatafuta kazi nyingine wewe na akina John Mrema na kundi la wachaga mnaokula kwa ku kiss Mbowe's bum.
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.
As a Chairman, He has to attack any irregularities, for the interest of the party !
Hakika na mheshimu sana mzee huyu ana busara sana.
Big up mbowe, mungu azidi kukuongezea hekima!
Assume ZZK ndiyo president
Utatafuta kazi nyingine wewe na akina John Mrema na kundi la wachaga mnaokula kwa ku kiss Mbowe's bum.
assume zzk ndiyo president
Kauli thabiti kwa kiongozi thabiti.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.
Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.
Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C
Source: Tanzania Daima