Siongozi Genge la wasaka URAIS - Mbowe

Siongozi Genge la wasaka URAIS - Mbowe

"Watu wanaoependa mabadiliko" hata zitto ni mmojawapo ndio maana ametangaza mabadiliko mapema kuwa sasa ni zamu yake ila km akiidhishwa na cdm
 
Nasisitiza kuwa.......Zitto aliponea chupuchupu kukatwa jina na NEC -CCM kama mjumbe maalum toka CHADEMA ktk mchakato wa CCM huko Dodoma, hiyo ni lazima aonyeshe kuwa hatakiwi kutiliwa mashaka na CCM, bado yuko fit
 
Nasisitiza kuwa.......Zitto aliponea chupuchupu kukatwa jina na NEC -CCM kama mjumbe maalum toka CHADEMA ktk mchakato wa CCM huko Dodoma, hiyo ni lazima aonyeshe kuwa hatakiwi kutiliwa mashaka na CCM, bado yuko fit

Mkuu tumekupata.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.

Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.

Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C
Makamanda wote isipokuwa Zitto Kabwe!! Maana huu kijana yeye yuko kwenye ndoto za urais. Apuuzwe kama wengine walivyoshauri.
Source: Tanzania Daima
 
"Watu wanaoependa mabadiliko" hata zitto ni mmojawapo ndio maana ametangaza mabadiliko mapema kuwa sasa ni zamu yake ila km akiidhishwa na cdm

Kwahiyo yeye ndo anajiona pekee CHADEMA AU? Amesahau Mtikila,sugu,Mnyika n.k kwamba wapo

ZITTO HAKUBALIKI MANA M4C HAKUWEPO NA WATZ CI WAJINGA KIASI HICHO
 
Kwahiyo yeye ndo anajiona pekee CHADEMA AU? Amesahau Mtikila,sugu,Mnyika n.k kwamba wapo

ZITTO HAKUBALIKI MANA M4C HAKUWEPO NA WATZ CI WAJINGA KIASI HICHO

Hongera kwa maneno mazuri.
 
Haya ni mambo ya kawaida sana katika siasa, haina haja ya kutoana povu kwa hoja, cha muhimu ni kuchukua maamuzi magumu!
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.

Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.

Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C


Source: Tanzania Daima

Wa kwanza ajitoa.

BADO MMOJA.
 
The good Chairman remains sane and mature in the face of a somewhat tumultuous renegades unflattering and cavalier hyper-exuberance.

We need a mature statesmanship that will signal coherence and inspire confidence among the populace, not a food fight that smacks of jockeying for position more than advancing the noble causes of leading the people of Tanzania from poverty and ignorance.

Granted the democratic process is messy, and some tenets of transparency conflict with some equally important tenets of orderly collective responsibility, but the immaturity of the presidency fixated bounty hunters will only serve to discredit the yet infantile institutions entrusted with the tasks of strengthening participatory democracy.
 
Kwahiyo yeye ndo anajiona pekee CHADEMA AU? Amesahau Mtikila,sugu,Mnyika n.k kwamba wapo

ZITTO HAKUBALIKI MANA M4C HAKUWEPO NA WATZ CI WAJINGA KIASI HICHO

Waulize viongozi wa JF waliotanguliza kura za MAONI (THREAD YA KWANZA) yenyenkichwa cha habari Zitto Vs Slaa. Kwani yeye wengine hakuwaona.

Unajua hao akina Lissu ni Vilaza tu, aibu kufikiria kushika urais Tanzania.
 
kudadedakei kuna vitu vinatia hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Only time will tell kama Mbowe ni muumini wa maneno yake au la. Hata hivyo, naunga mkono kauli yake.
 
Kila nikisoma uzi huu nakumbuka hekima kubwa ya Mbowe kama ile ya Mfalme Suleiman wa kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom