Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mi nimeupenda mwandiko wako.... nani alikufundisha kuumba herufi?........ Tatizo unacharaza sana na kalamu yako haina wino wa kutosha.......Hahaha hahaha hahaha,nimekuelewa mkuu.
Kama kuna maswali, karibu shambani kwangu Boko nikulishe matango na matikiti maji kw wingi wakati nikijibu maswali yako.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.