DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kuna kitu ambacho Mwalimu alikijenga kwa Watanzania ambacho kwa zama na nyakati za kizazi cha sasa uwa napenda kusimama pembeni dhidi ya misimamo yake hiyo Baba wa Taifa.Nakubali kwa nyakati zake hayo mambo yalikuwa sawa,na kweli kuna waasia [Waarabu na Wahindi] haswa wahindi walimsaidia Mwalimu katika ujenzi wa Taifa hili,kupitia chama cha ukomozi cha TANU.
Uwanapata shida sana najiuliza maswali ambayo sina majibu lakini na hakika yana majibu.Katika watu huwa navutiwa nao katika historia na masimulizi ni Mzee Karume,yasemakana bahada ya kupata uhuru Zanzibar Karume alishiriki katika jambo ambalo kama ni kweli hakika Mzee huyu alikuwa Jasiri na Mzarendo wa Kweli juu ya Uafrika wake [Braveness].Alifika wakati kwa mujibu wa masimulizi kuwa kulikuwa na waasia na waarabu ambao mabinti zao waliwapend waafrika lakini kwa itikadi ya ubaguzi walio nao hawa ambao wanajiita ndugu zetu waligoma kuwaoza watoto wao kwa Wazanzibar wenye asili ya kiamatumbi [yaani weusi].Inasikika kuwa Karume chini ya usimamizi wake alihakikisha kuwa kama unamchumba na mmekubalina basi kama huna maali ya kulipa serikali itakulipia.Kuna muusia mmoja kusikia hilo akapandisha maali kubwa hili serikali ishindwe kulipa lakini ilipofika kwa Karume akasema mlipeni na Mzee akalipwa pesa hizo mmatumbi akavuta mtoto wa kiasia.Hakika kama hili lilikuwepo Mungu amlaze pema peponi kamanda huyu alitimiza kazi yake kuona kama sote tu wanajamii tunastahiki kuishi pamaoja kwa kuoleana na kuzaliana kwa uwiano.Sio mwingine akawa bingwa wa kuolea wakati mwingine yeye kwenye kuolewa aka hataki kusikia.
Kwa Tanzania bara Mwalimu aliwaheshimu sana hawa marafiki zake wahindi,lakini kama kiongozi hakutengeneza miongozo ya kujua kuwa kwa kuwajumlisha hawa ambao ni [wachache] minority kama kundi kubwa sawa alivyowaona Watanaznia wabantu [Makabila tofauti tofauti] kuwa kitu kimoja kulifanyika makosa.Japo sio zama za kuhesabu makosa ila ni kipimo cha kuona tatizo lilianzia wapi.
Wahindi na waarabu kwa sababu ya uchache wao ambao kihaiba na tamaduni ni tofauti sana na Watanzania wabantu,lakini Mwalimu akawaweka ndani ya mizani moja kama Watanzania,akasahau kuwa hawa wana jadi zao na tamaduni zao,pasipo nguvu ya dola na misimamo ya kitaifa hawa watu wataibuka na mataifa yao ndani ya Taifa moja.
Alichokifanya karume kama kweli ni kweli,basi ukienda Zanzibar uanweza ukaona hata jinsi hawa watu Waasi na Wahindi wanavyoishi na Wazanzibar.
Mwalimu aliwapenda akafikia na yeye wanampenda,lakini kihalisia hakuna lisowezekana la kuunda TAIFA moja ambako watu wanaishi kama kama ndugu.Ni nani asiyejua kuwa zunguka Nchi nzima miji mingi mikubwa na midogo ukiingia kwenye mitaa ushangai kusikia UHINDINI.Kwanini kulikuwa na mitaa kama hiyo na Serikali kuhalalisha matumizi ya majina hayo ambayo yaliendeleza kuunda UBAGUZI na hivyo kuendelea kujenga viota vya kuhalalisha mataifa Matatu ndani ya Taifa moja, Uhindini wanaishi Wahindi na Waarabu.
Kwa kuishi kwao pamoja waliendeleza tamaduni zao wao kama wao binafsi badala ya kuunda ushirika na watanzania wengine hivyo kuunda jamii inayozaliana kwa kuoleana. Japo sio lahisi kwa mtu wa kawaida kujua madhara ya watu hawa kuishi daima sehemu moja wao wote wakiwa wamejikusanya ndani ya eneo moja kwa miaka nenda rudi toka wengine wetu atujazaliwa mpaka tumezaliwa wameendlea kuishi huko vizazi na viziazi,.
Hivyo wamezidi kuishi kiasia zaidi na sio kitanzania ndio maana nikasema mataifa mattu ndani ya Taifa moja.Kiuishi kitanzania ndio huku leo mtu yoyote ruksa kuoa mchaga,mpare,mngoni,mkurya,msukuma ama mkwele yote sawa. Lakini Kamwe sio lahisi ama sawa kusikia mgogo kaoa Muhindi,au Mwarabu kaolewa na Mkurya,ila kwa nadra nayo ni kidogo sana tena patakuwa ilikuwa zaidi ni msukumo wa kiuchumi [interest] ukasikia Mwarabu kaoa Mzaramo au Mfipa au Msukuma.
Lakini hiyo ndio Tanzania iliyotakiwa kujengwa ya matabaka mpaka kimakazi,Mtaani kwangu naishi na watu wa kutoka makabila kibao Tanzania lakini utofauti huo haupo kwa kuwa tunajiona sisi wote tu wamoja ikifika wakati wa kusali wakristu watakutana kwenye makanisa yao waislamu watakutana kwenye misikiti yao kila mmoja akitokea mitaa tofauti.Lakini si kwa wenzetu hawa kwani wao kila kitu si nyumba zao za ibada au biashara zao zote ni eneo moja tu ambalo ni wao wenyewe.
Sio lazima tufanane na Wingereza au Marekani,laizma tuunde Taifa linalofanana na sisi tulivyo,Taifa ambalo litampa nafasi ya kijana wa Kitanzania Mmatumbi kujumuika na kijana wa kihindi au kiarabu pasipo kujali dini wala kabila.Na kutoa fulsa ya kuunda taifa ambalo ushirikiano wa kiuchumi na muingiliano wa kinasaba utajenga Taifa la watu wa Taifa moja.Ifike Muhiindi au Mwarabu aishi tegete au Mbagara lakini ukifika wakatti wa kusali atatoka uko aende akakutane na wahindi wenzie jamatini kisha aludi kwa Watanzania wenzie anaoishi nao mtaa mmoja.
Wapewe ajira za kulitumikia Taifa kama Polisi,Madaktari,Walimu,Manesi,Maofisini na shughuri nyingine zote kama Watanzania wengine.
Na tabia ya hasa wazee wetu wengi waliowatendaji Serikalini ya kuwanyenyekea Wahindi na Waaarbu ,huku wakiiba Mali na fedha ya umma,kwa visingizio kuwa huwa hawatoi siri matokeo yake wakisha mwaga kwenye skendo ya wizi wa umma akiendea pesa yake kwa Muhindi au Mwarabu anazimwa tunaishia kuwaona baada ya muda wamepatwa na kiharusi [stroke].
Wafanyakazi walio wengi kwenye Mashiriki na ofisi nyingi za Serikali wanajua jinsi wanvyotumika na hawa jamaa [Use and abuses] wanaweza kuwa wema sana ukiwa madarakani,ngoja ustaahafu ama upigwe chini uwaoni,hata vile viitu walikuwa wanakupa bure kukufanya ujisikie na wewe ni mteule kufuri linafungwa na hawakutambui tena.Wako tayari wakutafutie Dada yao feki wakupe akubuludishe wakifanikiwa mikakati yao kupitia kwako wanaondoka na kiburudisho chao walichokuletea ukajiona mteule.
Yote haya ni upofu wa Watendaji baadhi ya Watanzania na tamaa zao za kutaka pesa za umma pasipo kujali utu wa wengine.Na kwa kuwa waasia kwa tabia ambayo iko wazi kimataifa ni watu wanaopenda sana ushawishi kibiashara kwa kutumia pesa na rasimali yoyote ile [Lobbing].Kwa Wahindi kidogo Waswahili uwa wanaambulia japo lakini wakikumbana na waarabu hapo ndipo viharusi huwa vya kufikia tu,.Kapiga deal au mchakato wake na Mwarabu,na kwa hofu kaacha fedha/hela kwenye akaunti ya mwarabu upepo upite Mchakato umejurikana kibosile kazi hakuna,lakini kesha vuta pesa yake anaenda kuchukua pesa ya kwa Mwarabu,.Mwarabu anamuuliza ulimwachia nani?.Na kwa kuwa ni za kuibia umma adhabu yake inayofuata hana Pesa [Mkwanja] na kazi alishafukuzwa na hawezi kumshitaki Mwarabu kwa kuwa ilikua Mchakato [deal] ghafla Mzee kashikwa na Kiharusi [Stroke] sababu ya dhambi ya mawazo.
Kwa sababu ya kutokuishi na hawa jamaa kimazingira wakati mwingine wakimsogelea na kumzunguka Mtanzania mmatumbi anapumbazika na hawa jamaa anajiona kama tofauti na kujiona mteule kwa kuwa ni nadra kuwaona katika jumuiko la kila siku la kitanzania kama Misibani, Makanisani, Shuleni, Hospitalini na Mitaani Kwetu.Linakuwa ni tatizo la kisaikolojia zaidi la kuona kama mtendewa kabalikiwa kwa kuwa na ukaribu nao.
Kwa vijana wengi wa Kitanzania ukiwaweke binti wa kiarabu au kihindi na binti wa kizungu waambie wachukue mmoja wasipendi one day out na mmoja kati ya hao nina hakika wengi watakimbilia kwa Muhundiau Mwarabu pamoja na kuwa kuna Mzungu.Kijana wa kitanzania ana hakika ya kuoa ama kuwa na mahusianao na binti wa kizungu anayetoka ulaya kwa asilimia mia [100%] kuliko binti wa kihindi au kiaarabu anayetoka KARIAKOO Dar es Salaam.
Kama Serikali inafikilia kuondoa tofauti hizo ni jukumu la mtu binafsi hakika sio kweli,ni jukumu la Serikali ya CCM kutengeneza mikakati na mbinu zenye kuwalazimisha watu hawa kutapakaa kwenye maeneo mabalimbali ya Watanzania wengine,na kuhakikisha hawalundikani pamoja na kuwapa mwanya wa kujitenga na jamii ya Watanzania wengine.Na kama kuna walio raia wa kigeni yaani wanaotoka India na Urabuni Serikali iwarudishe kwao.Na sasa kuna ujio wa Wasomali ambao ukienda maeneo ya kulasini jijini Dar es salaam wameanza nao kuunda Taifa lao [Somalian Kingdom].Kabla ya ujio wa kitambulisho mtaani tuvunje kwanza Mataifa hayo Matatu ndani ya Taifa moja.
Japo kuna baadhi ya Wahindi wameishi kama Watanzani wa kweli kama Profesa ISSA SHIVJI na hata Rajan aliyekuwa Mkurugenzi wa Haki Elimu sasa Mkurugenzi wa TUNAWEZA.Kwa kutaja hao ni wachache tu.
Je tunahitaji utafiti wa kina kuona ni jinsi gani tutaunda Taifa moja kwa kuondoa tofauti ya kihaiba kati ya Wahindi na Waarabu dhidi ya Wamatumbi yaani Watanzania.
Nawasilisha
Uwanapata shida sana najiuliza maswali ambayo sina majibu lakini na hakika yana majibu.Katika watu huwa navutiwa nao katika historia na masimulizi ni Mzee Karume,yasemakana bahada ya kupata uhuru Zanzibar Karume alishiriki katika jambo ambalo kama ni kweli hakika Mzee huyu alikuwa Jasiri na Mzarendo wa Kweli juu ya Uafrika wake [Braveness].Alifika wakati kwa mujibu wa masimulizi kuwa kulikuwa na waasia na waarabu ambao mabinti zao waliwapend waafrika lakini kwa itikadi ya ubaguzi walio nao hawa ambao wanajiita ndugu zetu waligoma kuwaoza watoto wao kwa Wazanzibar wenye asili ya kiamatumbi [yaani weusi].Inasikika kuwa Karume chini ya usimamizi wake alihakikisha kuwa kama unamchumba na mmekubalina basi kama huna maali ya kulipa serikali itakulipia.Kuna muusia mmoja kusikia hilo akapandisha maali kubwa hili serikali ishindwe kulipa lakini ilipofika kwa Karume akasema mlipeni na Mzee akalipwa pesa hizo mmatumbi akavuta mtoto wa kiasia.Hakika kama hili lilikuwepo Mungu amlaze pema peponi kamanda huyu alitimiza kazi yake kuona kama sote tu wanajamii tunastahiki kuishi pamaoja kwa kuoleana na kuzaliana kwa uwiano.Sio mwingine akawa bingwa wa kuolea wakati mwingine yeye kwenye kuolewa aka hataki kusikia.
Kwa Tanzania bara Mwalimu aliwaheshimu sana hawa marafiki zake wahindi,lakini kama kiongozi hakutengeneza miongozo ya kujua kuwa kwa kuwajumlisha hawa ambao ni [wachache] minority kama kundi kubwa sawa alivyowaona Watanaznia wabantu [Makabila tofauti tofauti] kuwa kitu kimoja kulifanyika makosa.Japo sio zama za kuhesabu makosa ila ni kipimo cha kuona tatizo lilianzia wapi.
Wahindi na waarabu kwa sababu ya uchache wao ambao kihaiba na tamaduni ni tofauti sana na Watanzania wabantu,lakini Mwalimu akawaweka ndani ya mizani moja kama Watanzania,akasahau kuwa hawa wana jadi zao na tamaduni zao,pasipo nguvu ya dola na misimamo ya kitaifa hawa watu wataibuka na mataifa yao ndani ya Taifa moja.
Alichokifanya karume kama kweli ni kweli,basi ukienda Zanzibar uanweza ukaona hata jinsi hawa watu Waasi na Wahindi wanavyoishi na Wazanzibar.
Mwalimu aliwapenda akafikia na yeye wanampenda,lakini kihalisia hakuna lisowezekana la kuunda TAIFA moja ambako watu wanaishi kama kama ndugu.Ni nani asiyejua kuwa zunguka Nchi nzima miji mingi mikubwa na midogo ukiingia kwenye mitaa ushangai kusikia UHINDINI.Kwanini kulikuwa na mitaa kama hiyo na Serikali kuhalalisha matumizi ya majina hayo ambayo yaliendeleza kuunda UBAGUZI na hivyo kuendelea kujenga viota vya kuhalalisha mataifa Matatu ndani ya Taifa moja, Uhindini wanaishi Wahindi na Waarabu.
Kwa kuishi kwao pamoja waliendeleza tamaduni zao wao kama wao binafsi badala ya kuunda ushirika na watanzania wengine hivyo kuunda jamii inayozaliana kwa kuoleana. Japo sio lahisi kwa mtu wa kawaida kujua madhara ya watu hawa kuishi daima sehemu moja wao wote wakiwa wamejikusanya ndani ya eneo moja kwa miaka nenda rudi toka wengine wetu atujazaliwa mpaka tumezaliwa wameendlea kuishi huko vizazi na viziazi,.
Hivyo wamezidi kuishi kiasia zaidi na sio kitanzania ndio maana nikasema mataifa mattu ndani ya Taifa moja.Kiuishi kitanzania ndio huku leo mtu yoyote ruksa kuoa mchaga,mpare,mngoni,mkurya,msukuma ama mkwele yote sawa. Lakini Kamwe sio lahisi ama sawa kusikia mgogo kaoa Muhindi,au Mwarabu kaolewa na Mkurya,ila kwa nadra nayo ni kidogo sana tena patakuwa ilikuwa zaidi ni msukumo wa kiuchumi [interest] ukasikia Mwarabu kaoa Mzaramo au Mfipa au Msukuma.
Lakini hiyo ndio Tanzania iliyotakiwa kujengwa ya matabaka mpaka kimakazi,Mtaani kwangu naishi na watu wa kutoka makabila kibao Tanzania lakini utofauti huo haupo kwa kuwa tunajiona sisi wote tu wamoja ikifika wakati wa kusali wakristu watakutana kwenye makanisa yao waislamu watakutana kwenye misikiti yao kila mmoja akitokea mitaa tofauti.Lakini si kwa wenzetu hawa kwani wao kila kitu si nyumba zao za ibada au biashara zao zote ni eneo moja tu ambalo ni wao wenyewe.
Sio lazima tufanane na Wingereza au Marekani,laizma tuunde Taifa linalofanana na sisi tulivyo,Taifa ambalo litampa nafasi ya kijana wa Kitanzania Mmatumbi kujumuika na kijana wa kihindi au kiarabu pasipo kujali dini wala kabila.Na kutoa fulsa ya kuunda taifa ambalo ushirikiano wa kiuchumi na muingiliano wa kinasaba utajenga Taifa la watu wa Taifa moja.Ifike Muhiindi au Mwarabu aishi tegete au Mbagara lakini ukifika wakatti wa kusali atatoka uko aende akakutane na wahindi wenzie jamatini kisha aludi kwa Watanzania wenzie anaoishi nao mtaa mmoja.
Wapewe ajira za kulitumikia Taifa kama Polisi,Madaktari,Walimu,Manesi,Maofisini na shughuri nyingine zote kama Watanzania wengine.
Na tabia ya hasa wazee wetu wengi waliowatendaji Serikalini ya kuwanyenyekea Wahindi na Waaarbu ,huku wakiiba Mali na fedha ya umma,kwa visingizio kuwa huwa hawatoi siri matokeo yake wakisha mwaga kwenye skendo ya wizi wa umma akiendea pesa yake kwa Muhindi au Mwarabu anazimwa tunaishia kuwaona baada ya muda wamepatwa na kiharusi [stroke].
Wafanyakazi walio wengi kwenye Mashiriki na ofisi nyingi za Serikali wanajua jinsi wanvyotumika na hawa jamaa [Use and abuses] wanaweza kuwa wema sana ukiwa madarakani,ngoja ustaahafu ama upigwe chini uwaoni,hata vile viitu walikuwa wanakupa bure kukufanya ujisikie na wewe ni mteule kufuri linafungwa na hawakutambui tena.Wako tayari wakutafutie Dada yao feki wakupe akubuludishe wakifanikiwa mikakati yao kupitia kwako wanaondoka na kiburudisho chao walichokuletea ukajiona mteule.
Yote haya ni upofu wa Watendaji baadhi ya Watanzania na tamaa zao za kutaka pesa za umma pasipo kujali utu wa wengine.Na kwa kuwa waasia kwa tabia ambayo iko wazi kimataifa ni watu wanaopenda sana ushawishi kibiashara kwa kutumia pesa na rasimali yoyote ile [Lobbing].Kwa Wahindi kidogo Waswahili uwa wanaambulia japo lakini wakikumbana na waarabu hapo ndipo viharusi huwa vya kufikia tu,.Kapiga deal au mchakato wake na Mwarabu,na kwa hofu kaacha fedha/hela kwenye akaunti ya mwarabu upepo upite Mchakato umejurikana kibosile kazi hakuna,lakini kesha vuta pesa yake anaenda kuchukua pesa ya kwa Mwarabu,.Mwarabu anamuuliza ulimwachia nani?.Na kwa kuwa ni za kuibia umma adhabu yake inayofuata hana Pesa [Mkwanja] na kazi alishafukuzwa na hawezi kumshitaki Mwarabu kwa kuwa ilikua Mchakato [deal] ghafla Mzee kashikwa na Kiharusi [Stroke] sababu ya dhambi ya mawazo.
Kwa sababu ya kutokuishi na hawa jamaa kimazingira wakati mwingine wakimsogelea na kumzunguka Mtanzania mmatumbi anapumbazika na hawa jamaa anajiona kama tofauti na kujiona mteule kwa kuwa ni nadra kuwaona katika jumuiko la kila siku la kitanzania kama Misibani, Makanisani, Shuleni, Hospitalini na Mitaani Kwetu.Linakuwa ni tatizo la kisaikolojia zaidi la kuona kama mtendewa kabalikiwa kwa kuwa na ukaribu nao.
Kwa vijana wengi wa Kitanzania ukiwaweke binti wa kiarabu au kihindi na binti wa kizungu waambie wachukue mmoja wasipendi one day out na mmoja kati ya hao nina hakika wengi watakimbilia kwa Muhundiau Mwarabu pamoja na kuwa kuna Mzungu.Kijana wa kitanzania ana hakika ya kuoa ama kuwa na mahusianao na binti wa kizungu anayetoka ulaya kwa asilimia mia [100%] kuliko binti wa kihindi au kiaarabu anayetoka KARIAKOO Dar es Salaam.
Kama Serikali inafikilia kuondoa tofauti hizo ni jukumu la mtu binafsi hakika sio kweli,ni jukumu la Serikali ya CCM kutengeneza mikakati na mbinu zenye kuwalazimisha watu hawa kutapakaa kwenye maeneo mabalimbali ya Watanzania wengine,na kuhakikisha hawalundikani pamoja na kuwapa mwanya wa kujitenga na jamii ya Watanzania wengine.Na kama kuna walio raia wa kigeni yaani wanaotoka India na Urabuni Serikali iwarudishe kwao.Na sasa kuna ujio wa Wasomali ambao ukienda maeneo ya kulasini jijini Dar es salaam wameanza nao kuunda Taifa lao [Somalian Kingdom].Kabla ya ujio wa kitambulisho mtaani tuvunje kwanza Mataifa hayo Matatu ndani ya Taifa moja.
Japo kuna baadhi ya Wahindi wameishi kama Watanzani wa kweli kama Profesa ISSA SHIVJI na hata Rajan aliyekuwa Mkurugenzi wa Haki Elimu sasa Mkurugenzi wa TUNAWEZA.Kwa kutaja hao ni wachache tu.
Je tunahitaji utafiti wa kina kuona ni jinsi gani tutaunda Taifa moja kwa kuondoa tofauti ya kihaiba kati ya Wahindi na Waarabu dhidi ya Wamatumbi yaani Watanzania.
Nawasilisha