Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
Wadau, wataalam
Nini chanzo za kutokupata hedhi ili hali mtu sio mjamzito?
aliwahi kuambiwa ana hormonal imbalance akatumia dawa hedhi zikarudi na kukata yapata kama miez 5 hivi.
dada ana miaka 27, hajawahi kuzaa na hajawahi kutoa mimba ( kwa maelezo yake)
Je bila mtu kupata hedhi anaweza kupta MIMBA?
ushauri wenu ni wa muhim coz tunapanga kufunga ndoa siku za uson
asanten
Nini chanzo za kutokupata hedhi ili hali mtu sio mjamzito?
aliwahi kuambiwa ana hormonal imbalance akatumia dawa hedhi zikarudi na kukata yapata kama miez 5 hivi.
dada ana miaka 27, hajawahi kuzaa na hajawahi kutoa mimba ( kwa maelezo yake)
Je bila mtu kupata hedhi anaweza kupta MIMBA?
ushauri wenu ni wa muhim coz tunapanga kufunga ndoa siku za uson
asanten