Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Sio mikito tu, hata kuongea kumo

yaan kuepusha yote hayo.. mi nikifika kwa mke nachomeka dubwi.. kimya kimya.. namwaga zangu nalala... yaan hamna kuulizana kama umerizika au fyoko gani..!!!!
tutasemeshana kwingine sio pale... maneno yenyewe sina...!
 
Na uwafundishe maneno ya kuongea muda huo sio maswali ya kibashite "we kwenu mpo wangapi"
Unataka ujue ili utusomeshe au?
Hahahaahhahahaahahahahaha
Hapo tu inanimarrrrrrlliza
I like you kwakweli
 
achana nao, mimi hilo sio swala la kujibu ila kwa kuwasaidia tu ni kwamba uwe na kibamia au usiwe nacho mie nimekupenda hivyo hivyo.

No one has the right to know your size rather than me of which is among ourselves. meaning you and me.

unataka niwaambie ili iweje?
Hahaha, wee unaelewa mimi sikuulizagi maswali ya hovyohovyo, ni mwendo wa kuruka mayenu tu
 
Na uwafundishe maneno ya kuongea muda huo sio maswali ya kibashite "we kwenu mpo wangapi"
Unataka ujue ili utusomeshe au?[/QUOT

kwi kwi kwiiiiii 😀😀😀 mara et ulisomea shule gani A level.....
 
Making Love sio adhabu...Sio assignment inayoenda kusahihishwa...Usiwe so serious ukiwa unafanya Mapenzi utadhani umewekewa target na
bosi basi unakimbia kimbia bila kujua uelekeo unaoenda ni sawa au si sawa...

TULIA....Ongea na Mpenzi wako,anajisikiaje,ulipogusa ni sawa au si sawa,TALK...Inasaidia kupunguza Tension na kulifanya Tendo kuwa adventurous...Kuongea wakati wa tendo kunamsaidia pia Mwanamke kufika kileleni kwa urahisi coz anakuwa at ease state, na anakuelekeza nini cha kufanya....

Sasa kama we ni kidume unarukia tu kama umeona Bajaj za Mwenge, hujui anasikiaje we upo tu kama unajaza upepo..HATUENDI HIVYO...Communication
is Power...Ongeeni,sio mnagunaguna tu no talk utadhani mnasaga Mahindi..Mapenzi hayaendi hivyo, Mapenzi ni sanaa...Kuweni wabunifu mtaona
tofauti...

asante sana stunter kwa ujumbe wa friday night bed........
 
Sasa kwa hiyo STUNTER hata kama nimekamatia zigo langu la show time pale kona bar natakiwa niongee nae?? Pale mi najua ni mikito tu..niongee nini sasa wakati ni chapchap
 
Hapo kuna tofauti ya kuongea na kubembelezana kimahaba.
Ukisema kuongea kuna watu wanaongea mpaka appetite itaisha utaishia tuu kutimiza wa jibu na sio mapenzi tena
 
anafanya vitu vyake vya ajabu ajabu mara ooh bebi umekujo.a? hivi mnakuwaga serious! mwenzio akikojo.a we hujui unaniona kabisa nakutumbulia mimacho
 
Hakuna kitu napenda kwenye lov like talking wakati wa kula inaletaga msisimko kichiz doh
 
x wangu mmoja huyo alizoea kunambia" kwa nini ulinitesa hivi mwaka mzima unaninyima huu utamu hapo mie hoiii na libichwaa nakosa majibu
 
yaan kuepusha yote hayo.. mi nikifika kwa mke nachomeka dubwi.. kimya kimya.. namwaga zangu nalala... yaan hamna kuulizana kama umerizika au fyoko gani..!!!!
tutasemeshana kwingine sio pale... maneno yenyewe sina...!
hahahahahahaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom