Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Hahahahaha lol! Umekula nini mchana!?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na uwafundishe maneno ya kuongea muda huo sio maswali ya kibashite "we kwenu mpo wangapi"
Unataka ujue ili utusomeshe au?
 
Hahahahaha lol! Umekula nini mchana!?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie tena msosi wangu Chapati kama muhindi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkiwa mnafanya mapenzi, halafu mnaongea kwa kuelewana hujue hakuna aliye kolea na kupeana tunda, mambo yakikolea vizuri unaweza hata kuambiwa "baby mama yako mchawi" ukajibu " ndiyo baby"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom