Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Hapana, una dude la kijeshi
uwiiii kumbe amekuuliza wewe kweli? acha nitangulie nikapaki vitu vyangu aisee sitaweza kuvumilia.

hii ni evidence ya kutosha. opppps moyo wangu mie
 
Sasa mtufunze na hayo maneno ya kesema mana mm mchaga naweza kuuliza....
Baby ulikumbuka kufunga duka
Baby madeni ulikumbuka kudai
Baby unajua hujanipa chenchi ya sokoni
Baby nowdays hakuna biashara
JAMANI MTUSAIDIE HAYO MANENO YA KUONGEA SHUGHULINI
 
Kutyana raha sana hasa mkutane mnaoyajulia mahabat, looooh!
 
uwiiii kumbe amekuuliza wewe kweli? acha nitangulie nikapaki vitu vyangu aisee sitaweza kuvumilia.

hii ni evidence ya kutosha. opppps moyo wangu mie
Jameni mi nliona vidole vyake tu ndo nikapima
Make nasikia vidole huwa vinasadifu yaliyomo yamo
 
Dah sasa piemu ya jamaa sio salama tena hatuwez kudiscuss ya kiume tena
hahahahaha, I did not say that I wont answer in a polite way, wewe leta mambo yako yote nitayajibu akiwa bize lakini
 
hahahahaha, I did not say that I wont answer in a polite way, wewe leta mambo yako yote nitayajibu akiwa bize lakini

Ha ha ha ha ha sidanganyik hata kidogo tutaongea na codes tu huelew kitu
 
nimekumbuka kitu nikafurahi kweli, eti kuongea nako kupoooo

STUNTER hubby umewaza nini lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom