Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Making Love sio adhabu...Sio assignment
inayoenda kusahihishwa...Usiwe so serious ukiwa
unafanya Mapenzi utadhani umewekewa target na
bosi basi unakimbia kimbia bila kujua uelekeo
unaoenda ni sawa au si sawa...TULIA....Ongea na
Mpenzi wako,anajisikiaje,ulipogusa ni sawa au si sawa,TALK...Inasaidia kupunguza Tension na
kulifanya Tendo kuwa adventurous...Kuongea
wakati wa tendo kunamsaidia pia Mwanamke
kufika kileleni kwa urahisi coz anakuwa at ease
state, na anakuelekeza nini cha kufanya....Sasa
kama we ni kidume unarukia tu kama umeona Bajaj za Mwenge,hujui anasikiaje we upo tu kama
unajaza upepo..HATUENDI HIVYO...Communication
is Power...Ongeeni,sio mnagunaguna tu no talk
utadhani mnasaga Mahindi..Mapenzi hayaendi
hivyo,Mapenzi ni sanaa...Kuweni wabunifu mtaona
tofauti...
Ni shairi, au limekukuta na umeshindwa kuliweka vizuri au???manake nimesoma mara kumi ila sasa aaah au ni ndoto uliyoota ndo umeiwasilisha??
 
au wengine kama wanatwanga mahindi au kaambiwa kuna nyoka humo ua loh .. ...... mwingine anachovya chovya tu akiongea ni akiwa anakaribia kumaliza.........

ila kuna wengine wanaongea wanaboa kaweka tu utasikia unajisikiaje jamanii si umechomeka tu.. au maswali ya kijinga me mtamu ? me nakufanya vizuri kuliko wengine? mjiamini
[emoji5] [emoji5] [emoji5] ......
 
mbwembwe nazifanyia home ground...tuu..!!..away...sina shobo nikipanda tako zangu kadhaa walete....naingia kitaa kwenye shughuri za ujenzi wa taifa....sina haja ya jihad utadhani vita ya ukombozi....
 
Hahahaa...
Nikipata dem kwa kitanda aongei wala ajishughulishi... Kesho sirudii
 
Ni shairi, au limekukuta na umeshindwa kuliweka vizuri au???manake nimesoma mara kumi ila sasa aaah au ni ndoto uliyoota ndo umeiwasilisha??
inamaana haujaelewa kabisa?
 
Mambo ya kuongea tena! Hapo ndio Ataanza kukumbusha Ahadi zote za tangu mwaka jana...Anajua utaitika tu.
 
Making Love sio adhabu...Sio assignment
inayoenda kusahihishwa...Usiwe so serious ukiwa
unafanya Mapenzi utadhani umewekewa target na
bosi basi unakimbia kimbia bila kujua uelekeo
unaoenda ni sawa au si sawa...TULIA....Ongea na
Mpenzi wako,anajisikiaje,ulipogusa ni sawa au si sawa,TALK...Inasaidia kupunguza Tension na
kulifanya Tendo kuwa adventurous...Kuongea
wakati wa tendo kunamsaidia pia Mwanamke
kufika kileleni kwa urahisi coz anakuwa at ease
state, na anakuelekeza nini cha kufanya....Sasa
kama we ni kidume unarukia tu kama umeona Bajaj za Mwenge,hujui anasikiaje we upo tu kama
unajaza upepo..HATUENDI HIVYO...Communication
is Power...Ongeeni,sio mnagunaguna tu no talk
utadhani mnasaga Mahindi..Mapenzi hayaendi
hivyo,Mapenzi ni sanaa...Kuweni wabunifu mtaona
tofauti...
Ila kama pesa ipo hata ungepiga kimya kimya atapiss tu.
 
Making Love sio adhabu...Sio assignment inayoenda kusahihishwa...Usiwe so serious ukiwa unafanya Mapenzi utadhani umewekewa target na
bosi basi unakimbia kimbia bila kujua uelekeo unaoenda ni sawa au si sawa...

TULIA....Ongea na Mpenzi wako,anajisikiaje,ulipogusa ni sawa au si sawa,TALK...Inasaidia kupunguza Tension na kulifanya Tendo kuwa adventurous...Kuongea wakati wa tendo kunamsaidia pia Mwanamke kufika kileleni kwa urahisi coz anakuwa at ease state, na anakuelekeza nini cha kufanya....

Sasa kama we ni kidume unarukia tu kama umeona Bajaj za Mwenge, hujui anasikiaje we upo tu kama unajaza upepo..HATUENDI HIVYO...Communication
is Power...Ongeeni,sio mnagunaguna tu no talk utadhani mnasaga Mahindi..Mapenzi hayaendi hivyo, Mapenzi ni sanaa...Kuweni wabunifu mtaona
tofauti...
Samahani mkuu..hvi wewe ni me au ke.?cjauliza kwa nia mbaya
 
Hahahaa...
Nikipata dem kwa kitanda aongei wala ajishughulishi... Kesho sirudii
Hata hao bubu wanatoa yowe, sembuse jitu linaongea fresh? Dawa ni kupiga chini tu, cuz inaonesha wazi hajatambua real def ya sex
 
mbwembwe nazifanyia home ground...tuu..!!..away...sina shobo nikipanda tako zangu kadhaa walete....naingia kitaa kwenye shughuri za ujenzi wa taifa....sina haja ya jihad utadhani vita ya ukombozi....
Labda kama hizo papuchi za kitaa unapewa bure, ila kama unazilipia lazima roho ikuume
 
au wengine kama wanatwanga mahindi au kaambiwa kuna nyoka humo ua loh .. ...... mwingine anachovya chovya tu akiongea ni akiwa anakaribia kumaliza.........

ila kuna wengine wanaongea wanaboa kaweka tu utasikia unajisikiaje jamanii si umechomeka tu.. au maswali ya kijinga me mtamu ? me nakufanya vizuri kuliko wengine? mjiamini
Ha ha ha ha haaaaaaaa... "baby umekojoa?"
 
Kile ni chakula, na kuongea ongea wakati wa kula siyo vizuri, ndiyo maana mnakufaga katikati ya chakula...
Kwo wewe huwa unaenjoy kabisa mapenzi ya kimyakimya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom