Sio mikito tu, hata kuongea kumo

Sio mikito tu, hata kuongea kumo

au wengine kama wanatwanga mahindi au kaambiwa kuna nyoka humo ua loh .. ...... mwingine anachovya chovya tu akiongea ni akiwa anakaribia kumaliza.........

ila kuna wengine wanaongea wanaboa kaweka tu utasikia unajisikiaje jamanii si umechomeka tu.. au maswali ya kijinga me mtamu ? me nakufanya vizuri kuliko wengine? mjiamini
Haa haa yan ww

Shemej yang atakua na tabu co kidogo
 
Ooh, Kumbe Majukumu!!!! Nifikikiri sio kwema.

Najiandaa kwenda jumuiya shem..

NAOMBA NIWE WA KWANZA KUKUTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA..... MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU!!!!

Majukumu shemdarling....

Tuombeane kwa kweli...

I feel blessed. Ahsante shem . Ujue ndani ya haya masaa 4 nilishasahau. thanks
 
Majukumu shemdarling....

Tuombeane kwa kweli...

I feel blessed. Ahsante shem . Ujue ndani ya haya masaa 4 nilishasahau. thanks
Majukumu ndo kila kitu, cha mno uzima tuu!!!

Usijali nitawaombea na Mungu wangu zaidi kukubariki....

Kusahau kumeumbiwa binadamu shemeji.... Nafurahi ka mie nimeweza kukukumbusha, be blessed
 
Majukumu ndo kila kitu, cha mno uzima tuu!!!

Usijali nitawaombea na Mungu wangu zaidi kukubariki....

Kusahau kumeumbiwa binadamu shemeji.... Nafurahi ka mie nimeweza kukukumbusha, be blessed

Exactly.
Haya asante saana shemeji. Na wewe pia be blessed eeeh
 
Sio Tabia njema kuongea wakati wa Kula wametufunza wakubwa.wacha vitendo viongee
 
Sasa kwa hiyo STUNTER hata kama nimekamatia zigo langu la show time pale kona bar natakiwa niongee nae?? Pale mi najua ni mikito tu..niongee nini sasa wakati ni chapchap
Hapo naongelea jinsi maongezi yanavyoweza kunogesha tendo na kuwafanya mzidi kudumu, mbona watu tunakamatia hayo mazigo na tunaongea pia? Ukitaka stori sema nikuhadithie jinsi nilivyoweza kuongea na Zigo la kununua na mambo yakawa shkopa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom