Sio kweli kwamba CCM inategemea dola na NEC ili ishinde

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Habari wanabody, nadhani wengi mnafahamu ya kwamba mimi ni chadema. lakini sio chadema kindakindaki yaani sio mfia chama.inapotokea kukosoa huwa nakosoa tu. Nirudi kwenye mjadala sasa. Juzi kulikuwa na chaguzi ndogo.

Ni wazi UKAWA tumegalagazwa vibaya sana na CCM. hii ni ishara mbaya kuekea 2020 na ni kengele nyekundu huko tuendako. tukubali tukatae ni kwamba makosa yaliyofanyika mwaka juzi 2015 ya kumpokea fisadi na kisha kumzungusha nchi nzima kama mgombea ndio yatakayotugharimu.

Kwa hiyo zile porojo wanazotoa baadhi ya watu kwamba mara tume sio huru, mara ccm inategemea dola mimi huwa napingana sana.kwanza kwa nini uingie kwenye mashindano ambayo una mashaka nayo? Na pia kama ingekuwa ni hivo basi watu kama akina Tundu Lisu, Lema, Mbowe n.k wazingekuwa wabunge leo hii,kwa sababu wangeporwa ushindi wao.

Kwa nini wapinzani hatupedi kukubali kwamba tumezidiwa kete? Yaani wewe ukae uzungushe mikono hewani harafu utegemee ushindi? kwa hiyo hao madiwani, wabunge, wenyeviti wa mtaa, vijiji na vitongoji wa Ukawa walishindaje?

Tuache porojo.makosa tunayo wenyewe ya kubadili gia angani ndio yanatugharimu sasa.
 
Chama kimesinyaa....

Vijana hawawezi tena kukosoa.......

Lowassa ilikuwa ni kete mbaya kabisa kuwai kupewa kupeperusha bendera ya chadema maishani kote..........

Lazima tuwe wakweli kuwa Mbowe aliingizwa kingi na wakina Lipumba na Dr Slaa na yeye akakubari kumpokea fisadi wenzie baada ya kuona chumba kinanuka wakakimbia ........

Kiukweli kilichofanyika 2015 ni uhaini dhidi ya upinzani kuleta watu waliokuwa wakishinda makanisani na misikitini wakigawa Rushwa..........

Kamwe hakuna mtu atakuja kusamehewa na watanzania kwa usaliti uliofanyika..........

Option ni mbili Mbowe kujiuzulu au kuwatimua Lowassa na Sumaye lasivyo chama kimfie...........
 
na kuna maneno nilisikia eti CCM walisafirisha watu kutoka Mwanza kwenda Zanzibar ili tu wakapige kura pale Dimani.

sasa swali la kujiuliza kama CCM wanaweza kuiba kura na pia wanatumia NEC ili wapate ushindi sa ni kwanini waingie gharama ya kusafirisha wapiga kura hewa mpaka Zanzibar na wakati uwezo wa kushinda kwa wizi wa kura wanao!

upinzani njooni na mikakati imara na wagombea makini sie mbona tutawaelewa tu ila kwa hili la kulia lia kila uchaguzi eti mmeibiwa kura halina tija wala ukweli wowote.

[HASHTAG]#tunamtaka[/HASHTAG] Dr. Slaa.
 
Habari wanabody,nadhani wengi mnafahamu ya kwamba mimi ni chadema.lakini sio chadema kindakindaki yaani sio mfia chama.inapotokea kukosoa huwa nakosoa tu.nirudi kwenye mjadala sasa.juzi kulikuwa na chaguzi ndogo.ni wazi UKAWA tumegalagazwa vibaya sana na ccm.hii ni ishara mbaya kuekea 2020 na ni kengele nyekundu huko tuendako.tukubali tukatae ni kwamba makosa yaliyofanyika mwaka juzi 2015 ya kumpokea fisadi na kisha kumzungusha nchi nzima kama mgombea ndio yatakayotugharimu.kwa hiyo zile porojo wanazotoa baadhi ya watu kwamba mara tume sio huru,mara ccm inategemea dola mimi huwa napingana sana.kwanza kwa nini uingie kwenye mashindano ambayo una mashaka nayo? Na pia kama ingekuwa ni hivo basi watu kama akina Tundu Lisu,Lema,Mbowe n.k wazingekuwa wabunge leo hii,kwa sababu wangeporwa ushindi wao.kwa nini wapinzani hatupedi kukubali kwamba tumezidiwa kete? Yaani wewe ukae uzungushe mikono hewani harafu utegemee ushindi?kwa hiyo hao madiwani,wabunge,wenyeviti wa mtaa,vijiji na vitongoji wa Ukawa walishindaje? Tuache porojo.makosa tunayo wenyewe ya kubadili gia angani ndio yanatugharimu sasa.
100% trueth. Ila utapingwa vikal sana. Subiri uone.
 
Chama kimesinyaa....

Vijana hawawezi tena kukosoa.......

Lowassa ilikuwa ni kete mbaya kabisa kuwai kupewa kupeperusha bendera ya chadema maishani kote..........

Lazima tuwe wakweli kuwa Mbowe aliingizwa kingi na wakina Lipumba na Dr Slaa na yeye akakubari kumpokea fisadi wenzie baada ya kuona chumba kinanuka wakakimbia ........

Kiukweli kilichofanyika 2015 ni uhaini dhidi ya upinzani kuleta watu waliokuwa wakishinda makanisani na misikitini wakigawa Rushwa..........

Kamwe hakuna mtu atakuja kusamehewa na watanzania kwa usaliti uliofanyika..........

Option ni mbili Mbowe kujiuzulu au kuwatimua Lowassa na Sumaye.........
Kabisa.na ndio maana huwa nasema kama Lowasa angeshinda basi tungefanikiwa,lakini kwa kushidwa kwake basi tutegemee pigo kubwa sana.na Mbowe kukiuzuru hawezi na kumtimua Lowasa haiwezekani,na huyo Lowasa anaonekana 2020 atagombea tena,tutegemee kipigo zaidi kutoka kwa mahasimu wetu
 
Habari wanabody,nadhani wengi mnafahamu ya kwamba mimi ni chadema.lakini sio chadema kindakindaki yaani sio mfia chama.inapotokea kukosoa huwa nakosoa tu.nirudi kwenye mjadala sasa.juzi kulikuwa na chaguzi ndogo.ni wazi UKAWA tumegalagazwa vibaya sana na ccm.hii ni ishara mbaya kuekea 2020 na ni kengele nyekundu huko tuendako.tukubali tukatae ni kwamba makosa yaliyofanyika mwaka juzi 2015 ya kumpokea fisadi na kisha kumzungusha nchi nzima kama mgombea ndio yatakayotugharimu.kwa hiyo zile porojo wanazotoa baadhi ya watu kwamba mara tume sio huru,mara ccm inategemea dola mimi huwa napingana sana.kwanza kwa nini uingie kwenye mashindano ambayo una mashaka nayo? Na pia kama ingekuwa ni hivo basi watu kama akina Tundu Lisu,Lema,Mbowe n.k wazingekuwa wabunge leo hii,kwa sababu wangeporwa ushindi wao.kwa nini wapinzani hatupedi kukubali kwamba tumezidiwa kete? Yaani wewe ukae uzungushe mikono hewani harafu utegemee ushindi?kwa hiyo hao madiwani,wabunge,wenyeviti wa mtaa,vijiji na vitongoji wa Ukawa walishindaje? Tuache porojo.makosa tunayo wenyewe ya kubadili gia angani ndio yanatugharimu sasa.

images


upload_2017-1-25_8-23-36.jpeg


images


upload_2017-1-25_8-28-43.jpeg


Sema lingine!
 
Back
Top Bottom