Nadhani hili ndilo jibu sahihi...Kuna incidents hazihitaji kupima, chakula kile hakikuandaliwa kwa ajili ya Rais kwa hiyo hakungekuwa na intention yoyote kwamba kimefanyiwa ujanja.
Najua utajifanya hujaelewa ili kumtetea Rais wenu wa wanyonge na upate buku 7 yako mkono iende kinywani.
Sio kwa yule mkuuWe jamaa mbishi Kama mshipa wa ninih,sasa akiuza madafu posta,posta ndio hakuna ma shushushu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha urongo stori tu,mambo hayo ya zamani na uwa watu km hao wapo kwa mission maalumu.Mkuu unaonekana una kichwa kigumu sana kuelewa.hujamuelewa mwenzio
Hoja yake ni hivi.usishangae hata muuza vitumbua wa mtaani kwenu akawa anafanya kazi serikalini
Dini ndio kitu gani,pamoja na ubovu wa hizo dini zinatutaka tuwe wanyenyekevu kwa mungu na sio wenye mamlaka.Umbea wa Polepole ni nini hapo!?
Unyenyekevu wa binadamu ni moja ya nguzo bora sana maishani. Mwanadamu aliyekosa Unyenyekevu mara nyingi huwa amejawa na kutawaliwa na Kiburi, Ujuaji, Uzandiki, Unafiki, Ushirikina, Chuki, Wizi/Uporaji, Uzinzi n.k. Na Dini zote zinatufundisha tuwe WANYENYEKEVU.
Kwani mwajiri pekee wa wana kitengo ni Magu tu? System ipo since uhuru na watu wanaajiriwa na ku staafu as well. Who knows kama na yeye ni mmoja wa wana kitengo!?We unayejua amekusimulia nani? Yule ni muuza madafu maarufu sana mitaa yake posta/ mnazi1 b4 magu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa una matatizo makubwa sana ya akili kiongozi. Kuna maandiko katika kitabu cha Matayo 22, mstari wa 15-22, yanasema hivi;Dini ndio kitu gani,pamoja na ubovu wa hizo dini zinatutaka tuwe wanyenyekevu kwa mungu na sio wenye mamlaka.
Habari za mchana Samora? Napita hapo kijiweni kwako muda si mrefu kushona ndala imenikatikia hapa ferry.
Mkuu Una uhakika kauli ya Rais ina amua uhai wako!? Kwanini yeye ni Mungu, Majaribio mangapi yanayokuwa na baraka labda za Rais wa nchi fulani ila yana kwama!? Unachopaswa kujua Rais ni mtu na kila mtu ana mapungufu, Leo Zuma wa SA anawekwa kizibani kusomewa mashtaka, R. mugabe anaweka zuria jekundu kwake anatembea hapo huku akisema leo hakuna hata waandishi wa habari wa kumuandika na bado mke wake anakabiliwa na mashtaka kem kemKuna tofauti kati ya mtu na mtu mwenye madaraka na nguvu kama Rais au kiongozi wa Nchi.
Mimi na Wewe ni watu....lakini Mh. Rais wa JMT ni mtu mwenye madaraka mazito sana na kauli yake inaweza kuamua kama uendelee kuishi au hapana. Nafikiri utakuwa umenielewa.
Mkwere mtoto wa Mjini sana yani Mzee yule hatari sanaKwa akili yako unavyofikir kwahy prezidaa hakuwa na kitu mfukoni/mtonyo/ngawira?? Hizo busara za jk kuwahadaa km hana kitu mfanane nae kwa muda!
Hii incidence alimkanya mpk mondi wakati kapiga picha na maburungutu na pesa akitambia @ig,mzee akamwambia unajenga chuki na raia ambao hata kula yao shida na hao hao ndo mashabiki wanaojinyima kukusapoti leo wanaona unawakejeri kwa kuwaringishia haipendezi#busara za jk
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko gizani kweli kwa taarifa yako mtaani siyo wauza uji wote ama wachoma mahindi, nyama, washona viatu au wapiga debe wote ni kazi zao. Usipende kuamini kila unachokiona.Kulikuwa na urongo unaenezwa chakula cha mh Rais lazima kipimwe tena lazima ale MTU mwingine kabla yake..
Magufuli amethibitisha sio kweli,km mnakumbuka alikula kwenye mgahawa mwanza,Jana kala dafu adharani bila kutest MTU wala kupimwa.
Mi najua madafu uwa yanakaaga wiku3 hayajauzwa na kwavile hayajakomaa maji yake yanavunda hivyo ni raisi kuumwa tumbo..ila mh hakujali ilo wala hakuwaza madafu ni ya lini..
Tuache kudanganyana acheni urongo urongo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuwa majuto hakuwa mwigizaji bali wa kazi maalumu. Kalia hayo hayo ile kazi wengine hawastaafu.We unayejua amekusimulia nani? Yule ni muuza madafu maarufu sana mitaa yake posta/ mnazi1 b4 magu
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeeeeeeeeeUsichukulie poa maswala ya ulinzi na usalama.
Kuna uzi humu JF kuhusua muuza madafu.. na pia kuhusu yule muuza mahindi aliyekujagundulika ni mlinzi wa Naibu Rais wa Kenya Bw. Rutto.
Uzi wa muuza madafu una hizi picha.
Majibu utajaza mwenyewe.View attachment 1014707View attachment 1014709
Ubishi mwingine hauna tija,nani kakuambia watu wakitengo alipoingia wakaajariwa wapya tu wa zamani wakaachishwa kazi?We unayejua amekusimulia nani? Yule ni muuza madafu maarufu sana mitaa yake posta/ mnazi1 b4 magu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho wachache watakuelewaVitu ambavyo Rais kabla ya kula lazima vipimwe Ni vile vya kupikwa kwa Mazingira Kama ya hotel Au event maalum kuepuka sumu Ila sio Kila anachokula lazima kipimwe
Mie kilichonifurahisha sio Rais kula dafu bali kiherehere Cha Humphrey Polepole kushikilia dafu wakati Rais anakunywa Maji ya dafu!
Watu tunajua Sana kuji pendekeza kwa Kweli
Na Gerson Msigwa kaiweka Kwenye page yake ya Instagram kuonesha maana ya Unyenyekevu kwa Mkuu wa Dola
Ila Pia Nimejifunza kitu Kuwa Ndugu Rais Magufuli huwa anatembea Na Fedha Mfukoni tofauti Na Jakaya ambae kuna Siku 2006 nusura adhalilike ambae akiwa Mtaa wa Samora ilipo NBC Samora akiwa Kwenye Ziara ya kutembelea zilizokuwa ofisi Za Idara ya Misitu alikatiza Ombaomba ambae akamuomba Fedha Na Jk bila ya hiyana akazama mfukoni akajipiga 'sachi' Sana akakosa pesa ndipo Mpambe wake akaokoa Jahazi kwa kutoa Za kwake Na kumpa Rais amabe akamkabidhi pale pale.
Pengine HAO wengi wameanzia kuona 'pale' na ni bora waachwe kuelewa tukio lile kuanzia 'pale pale' walipoRUHUSIWA kuona! HAWA wengineo RUKSA kudurusu durusu iwafaavyoSocrates anasema ukweli Ni kwajili tu ya watawala na wanaume. Na siyo kwajili ya wapumbavu, wanawake , watoto na watumwa.
Ukionacho kwa macho, humu uraiani Kama hayo ya dafu na MJP ni nje kabsa na ukweli halisi.
Na ukitakacho kuujua ukweli lazima uwe mwanaume, na mtawala ...Hapo hapo isiwe mpumbavu, mtoto, mwanamke Wala mtumwa wa akili na mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaPengine HAO wengi wameanzia kuona 'pale' na ni bora waachwe kuelewa tukio lile kuanzia 'pale pale' walipoRUHUSIWA kuona! HAWA wengineo RUKSA kudurusu durusu iwafaavyo
Sent using Jamii Forums mobile app