wajinga ndo waliwao, hii habari si ya kweli ni kama zile hadithi za zamani kuwa mama mjamzito haruhusiwi kula maini, mayai kwa sababu atajifungua mtoto mwenye Kipara,hiyo ilikuwa janja ya wezee,hivyo hiyo nayo ndo maneno ya wachungaji wetu wa leo kuhimiza matoleo na hii itakuwa ni pale ubungo kibo maana jamaa kwa jeuri ya pesa anpaki mchuma wake wa bei mbaya pale juu kila mtu auone,ili aweze kupata pesa lzm atunge mambo ya fanane na ukweli poleni sana waumini