Sio kila mtanzania anahitaji Katiba Mpya, tusilazimishane..

hakuna kitu pasipo sababu.. unafikiri wanaolilia katiba mpya hawajaona mapungufu yake..?
wanaodai katiba mpya waendelee kudai na wasiodai waendelee kutokudai
Bila kumung'unya maneno wanaodai Katiba mpya ni viongozi wa upinzani wakidhani mabadiliko katika Katiba yatawapa mwanya wa kushika madaraka ya Dola au angalau kugawana hiyo keki ya utawala, na Chama Dola.

Kwa maisha ya kila siku ya Mtanzania, Katiba iliyopo inampa kila mtu haki na uhuru katika nchi yake. Katiba ya sasa, Sehemu ya Tatu: Haki na Wajibu Muhimu, imeboreshwa kidogo sana kwenye Katiba Inayopendekezwa: Sura Ya Tano: Haki za Binadamu, Wajibu wa Raia, Jamii na Mamlaka ya Nchi. Tofauti hiyo kwa Katiba ya sasa haimnyimi Mtanzania Uhiru na Haki stahiki.
 
Kitu gn kilifanya katiba ishindikane??!!na kw nn watu wanapenda kuita kamati ya warioba??!! Aliekwamisha katiba leo ndio anamlaumu alietaka katiba iandikwe.MAAJABU.
 
Asante mtoa maada. Kwanza lingekua ni somo tosha kwawanaodai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hapa Tanzania kwa kuchungulia tu kidogo kwa majirani zetu wa Kenya. Kenya Wanayo Katiba mpya nzuri sana na Tume huru ya uchaguzi lakini angalia siasa zao zinavyoenda hasa kwa upande wa upinzani. Malalamiko yako pale pale. Mimi nafikiri sisi wenyewe tuwe tayari kuwa wazalendo kabla hatujadai katiba mpya etc.
 
Back
Top Bottom