Sio kila EX ni expired zingine ni example

Ma x wangu wote wapite hivii. Sitaki hata kuwasikia
 
Hii 'demokrasia' ndio tatizo...

Mimi nikija kuoa halafu nisikie au nione mke wangu analiwa na ex..tena kizembe eti kisa demokrasia kwakweli nitachokitenda kwa either mmoja au wote, Dunia itasimama..
 
EX nyingine za bomoa bomoa, njoo uone X nyumba inabomolewa.... nasema njooni muone X nyumba inabomolewa.
 
Wewe changamoto ya ndoa kwako ni kugongewa. Wengine hilo hawalitilii maanani sana, wanatafuta tu mama mzuri wa watoto wao familia iwe stable na furaha mengine ni nyongeza au mapungufu yanayoweza kutokea, awe kagongwa na mpya au wa zamani kugongwa ni kugongwa tu na si la kutilia maanani hadi pale litakapotokea ndo utapata ufumbuzi. Ndoa na iheshimiwe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…