Sio jambo zuri kumpiga Mwanamke ila muda mwingine Wanawake wanakera mno

Nikisoma comments za wanaume inaonyesha asilimia 99.9 wanawake huwa wanapigwa kwaajili ya midomo ila kuna dada mmoja nilikuwa naongea nae jana akaniambia there is no way mwanamke unaweza ukaacha kuongea yaani hata ukikaa kimya mwanaume atakuchokonoa tu mradi uongee yaani ukiamua kukaa kimya ni kama wanakosa amani hivi. Hili sijui lina ukweli gani
Siyo kweli hata kidogo, wanawake wa generation hii ni tatizo, wao nafasi ya mwanaume wansitambuwa kwenye kutowa pesa tu.

Hii ni laana kutoka kwa Mungu wanaume tunaadhibiwa kwa kwenda kinyume na mpango wa Mungu.

Hakuna kitu cha kipumbavu kama 50 kwa 50 Mungu akuumba dunia ili mwanamke awe sawa na mwanaume.

Ndio sababu Wayahudi mwanamke haesabiwi na hata katika misingi ya uislamu muongozo wao ni mzuri sana kwenye ndoa.

Kwa kifupi mwanamke mnyenyekevu kwa mume nyumba yake itakuwa ni paradise miaka yote.

Kuna tabia ya kishenzi ya wanawake wa sasa kupekuwa simu za wanaume hui na nao ni upumbavu uliopitiliza.

Mwanamke yeyote anayeingiza kichwa chake kwenye zile draya za salon kichwani kwake hawezi kuwa mzima.

Mimi nashauri kwa wanandoa wapya badala ya kupima virusi vya ukimwi peke yake tuanze utaratibu mpya wa kupima afya ya akili kabla ya kufunga ndoa, maana vichaa ni wengi sana sasa lakini huwezi kuwagunduwa kwa macho.
 
Nikisoma comments za wanaume inaonyesha asilimia 99.9 wanawake huwa wanapigwa kwaajili ya midomo ila kuna dada mmoja nilikuwa naongea nae jana akaniambia there is no way mwanamke unaweza ukaacha kuongea yaani hata ukikaa kimya mwanaume atakuchokonoa tu mradi uongee yaani ukiamua kukaa kimya ni kama wanakosa amani hivi. Hili sijui lina ukweli gani
Ndiyo sometimes uwa tunapenda tu kuwadunda ili tuwaone mkiwa mme nuna nuna tu
 
Mkuu mwanaume si Mungu, kubali kataa kuna wakati hata wewe huwa unafanya mambo ya kijinga unahitaji kukosolewa na wakati mwingine uambiwe no hapa hauko sawa..hii 50/50 walioanzisha walikuwa na lengo zuri tu ila walioihamishia kwenye ndoa waliamua tu kujiongeza wenyewe. Ila mwisho wa yote mmeambiwa muishi na sisi kwa akili
Hata kwenye siasa 50 kwa 50 ni upuuzi mtupu, nimeangalia ndoa nyingi sana zilizotawaliwa na utulivu na amani mwanamke huwa yuko vizuri sana, na matatizo ya wanawake ndio yanachangia nyumba nyingi kuwa na wajane jiulize ni kwa nini wanaume wanakufa haraka?
 
Kwa hiyo Matola unachopigania hapa ni kwamba unatamani kuona wanawake wote hawako vizuri. Yaani vyuo viwe ni vya wanaume tu, maofisini huko ofisi za maana mjae wanaume tu kwenye biashara nako my dear unawaza yasiyowezekana kwenye dunia ya leo. Ndio ninyi mkifa watoto wanaishia kuwa machokoraa maana wanawake wenu mmewaweka ndani safari zao ni za jikoni-chumbani....haya mawazo unahitaji kubadilika mkuu hata kulea watoto tu siku hizi inatakiwa kuwa na exposure, una mawazo ya kizamani sana aisee mwanamke mwenye nidhamu haijalishi status yake atakuheshimu tu.
Hata kwenye siasa 50 kwa 50 ni upuuzi mtupu, nimeangalia ndoa nyingi sana zilizotawaliwa na utulivu na amani mwanamke huwa yuko vizuri sana, na matatizo ya wanawake ndio yanachangia nyumba nyingi kuwa na wajane jiulize ni kwa nini wanaume wanakufa haraka?
 
Kabisaaaaa !!!

Nashangaa watu hapa wanajivuna na kujiona miamba kwa kupiga wake/wapenzi wao. Sad (in Trump's voice)
SHIMBA YA BUYENZE, Hakuna mtu aweza kumpiga mwanamke bila sababu, wanawake wana midomo michafu kiasili, hawajui neon gani la kuongea, ulinishangaza uliposema utampeleka kwao !!, hivi kumpeleka kwao ndio kumfunza, ?, Na je akirudi kutoka kwao akiwa bado na matatizo yaleyale unafanyaje ? wengi huwa tu wa wapole lakini kuna stage anakulazimisha umpige, yaani kuna kuwa hakuna jingine zaidi ya vibao, lengo ni kuhakikisha harudii tena, yaani kumfunza adabu, mwanamke mwenye adabu hapigwi.
 
Kwa ufupi

Wanawake wa zamani waliozaliwa kabla ya uhuru huwa wanatambua WAMEOLEWA, wa Baada ya uhuru wanaamini hawajaolewa bali MMEOANA
Kumbe matatizo yanaanzia pale inapokuwa MMEOANA ?, Wanawake wa sasa hivi ni kazi sana kujenga familia zao, wengi wanishi kwenye Ndoa huku zikiwa na minyukano kibao, Demi nataka nisikie kutoka kwako, kwa nini huwa hamkubali kwamba mmeolewa ?
 
Mtu unakuwa na stress kuliko stress zenyewe mkuu...
Hata kwenye siasa 50 kwa 50 ni upuuzi mtupu, nimeangalia ndoa nyingi sana zilizotawaliwa na utulivu na amani mwanamke huwa yuko vizuri sana, na matatizo ya wanawake ndio yanachangia nyumba nyingi kuwa na wajane jiulize ni kwa nini wanaume wanakufa haraka?
 
Wanataka na wao Wanyanyue mabega kuwa wapoo...Wanataka wao wawe vichwa vya familia..!! wengi wao wanawake wasomiii...wenye vyeo vya kuteuliwa hasa... Wafanya biashara wenye pesa.. Mwanamke akiwa na kihela tu aisee Jeuri balaaa...anakwambia me Mwanaume haniendeshi kabisaa...
Kumbe matatizo yanaanzia pale inapokuwa MMEOANA ?, Wanawake wa sasa hivi ni kazi sana kujenga familia zao, wengi wanishi kwenye Ndoa huku zikiwa na minyukano kibao, Demi nataka nisikie kutoka kwako, kwa nini huwa hamkubali kwamba mmeolewa ?
 
Mwanamke anahitaji kuwa free but katika vitu tofauti so mpe uhuru tu afanye vile anaona yeye inafaa hilo litakupa wasaa wa kumjua vizuri coz akiwa anakuogopa ata feki vitu vingi.

Ukimpa uhuru utajua kipi ni tabia yake halisi, kipi alikuwa anaigiza, kipi ni udhaifu wake(natural huwez badilisha) na mengine mengi.
Hata ukimpiGa utamfanya awe suGu tu, cheza na saikolojia lazima akae sawa.

PS: Only applicable if mpenzi wako anakupenda kweli, Otherwise ni kujitesa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom