BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,489
- Thread starter
- #61
Kujitambua kunapimwaje?Wanawake tu wanaojitambua hawasikilizi taarabu itakuwa mwanaume kama FEI TOTO
Kujitambua kunapimwaje?Wanawake tu wanaojitambua hawasikilizi taarabu itakuwa mwanaume kama FEI TOTO
"Wanaume wawili kutembea wakiwa wameshikana mikonoKuna mambo jinsia fulani ikifanya anaonekana/tafsiriwa tofauti...
Mfano
Hiyo kusikiliza taarabu
Wanaume wawili kutembea wakiwa wameshikana mikono
Wanaume kupakatana
Mind you, hayo yote wakifanya msichana kwa msichana ni kawaida
Kimsingi binafsi sidhani kama ni kosa mwanaume kupenda/kusikiliza taraab....japo naona sio kawaida
Sawa mwanaume unayesikiliza nyimbo za ukombozi ili uonekane mwanaume ngoja sisi tuendelee kueneza ushoga.Taarabu ni nyimbo za kike kike na ndiyo maana ukikuta mwanaume anacheza taarabu au kuimba lazima ushtuke.
Kama Hip hop ilivyotumika kwaajili ya ukombozi basi taarabu nayo itakuja kutumika kama sehemu ya kueneza ushoga.
Unauliza? Au unaniambia?Hivi kuna taarabu inayoelimisha mana waimbaji wenyewe wanaimba idea moja tu
Upo tayari kuangali series na movies za Hollywood zinazopromote ushoga waziwazi kuliko kusikiliza taarabu zinazo entertain na kupresents culture zetu za pwani..? Endelea kusikiliza hip hop ili uonekane mwanaume.Taarabu ni nyimbo za kike kike na ndiyo maana ukikuta mwanaume anacheza taarabu au kuimba lazima ushtuke.
Kama Hip hop ilivyotumika kwaajili ya ukombozi basi taarabu nayo itakuja kutumika kama sehemu ya kueneza ushoga.
😂😂😂😂 si ndio hapo sasa"Wanaume wawili kutembea wakiwa wameshikana mikono
Wanaume kupakatana"
Mara kumi usikikize taarabu kuliko hizo mambo!! mwanaume unaanza je kupakatwa
Hiyo fact ila kuogopa kusikiliza taarabu kisa kuhofia watu watakujudge vibaya huko ni kutojiamini na kutojiamini ni kutokufanya yaliyosahihi.
Naunga mkono hojamwanaume anayesikiliza taarabu sio riziki
kwa sababu ni mziki wa mipasho ambayo hupendwa na upande wa pili.
so, wewe unapenda mipasho?
@viatu vya samaki Mimi mchele kitumbo nakusalimu.Taarabu ni nyimbo za kike kike na ndiyo maana ukikuta mwanaume anacheza taarabu au kuimba lazima ushtuke.
Kama Hip hop ilivyotumika kwaajili ya ukombozi basi taarabu nayo itakuja kutumika kama sehemu ya kueneza ushoga.
Mashoga wapo mpaka ulaya,na hawajuhi kama kuna mziki unaitwa taarabu.mwanaume anayesikiliza taarabu sio riziki
kwa sababu ni mziki wa mipasho ambayo hupendwa na upande wa pili.
so, wewe unapenda mipasho?
Hujui mziki unachojua kuwa taarabu inasikilizwa na mashoga keep it up.
Wewe wasema
Na Mimi nasema hivi siwezi kuwa bize na taarabu ila sitaki kuamini ulosema kuhusu wanaume wanaopenda huo muziki ila maneno yako siyapuuzi.Nakazia nimesema
@viatu vya samaki Mimi mchele kitumbo nakusalimu.
Na Mimi nasema hivi siwezi kuwa bize na taarabu ila sitaki kuamini ulosema kuhusu wanaume wanaopenda huo muziki ila maneno yako siyapuuzi.
Dah! Kumbe nimetukana.BabaMorgan umeamua kututukana mchana kweupe wanaume wote, binafsi nimefedheheka sana
Kuna pimwa kwakutopenda umama mama kwa kusikiliza taarabu.Kujitambua kunapimwaje?
Wewe unajifanya umeinuliwa sio kama afande aliyekuwa anabisha na magu?Unauliza? Au unaniambia?
Upo tayari kuangali series na movies za Hollywood zinazopromote ushoga waziwazi kuliko kusikiliza taarabu zinazo entertain na kupresents culture zetu za pwani..? Endelea kusikiliza hip hop ili uonekane mwanaume.