Duuh aiseeee hatari mzeeWw njoo huku uone lokiyo
Aiseee huwa anavaaa nguo nyekundu au maana kuna mmoja pale huwa anavaaga kimini chekundu na blauz nyekundu na ni mweupeHiyo ya kuwatumia misukule ni hivii huyo mwanamke ana dawa yake flani kabla hajaonana na mwanaume anachanganya na mafuta ya kujipaka anajipaka usoni kwahiyo wanaume wanakuwa wanamwona yeye tu
Halafu mkiingia chumbani anajipaka katika sehemu zingine za mwili hapo unajikuta unatoa hela zote unamkabidhi yeye na yeye kuna kiasi anapeleka kwa mganga wake.
Kuna kipindi alikuwa anaingia chumbani anaonekana ni yeye ila nafsi yake inabaki nje hlf mwanaume anamgonga mtu mwingine ambae huyo dada alimtoa kimazingara kijijini kwa mganga wake ili yeye asichoshwe.
Ni mzuri haswa huyo mwanamke, ana self za kupangisha Mwanza, Dsm na Arusha ila yeye hajajenga.
Mchana anavaa hijab na hatoki nje, wanaomchafua sasahv ni wenzake akiwepo mdogo wake kabisa.
Ndio huyo huyo mkuu,Aiseee huwa anavaaa nguo nyekundu au maana kuna mmoja pale huwa anavaaga kimini chekundu na blauz nyekundu na ni mweupe
Ni kweli mkuu,Hivi kumbe haya mambo ni kweli duuu aisee kazi kwelkwel
Mpinzani wake mkubwa ni mama mmoja wa kigoma mnene haswa na ana mzigo wa kutosha nyuma na yeye anatumia kizizi pia ila kamwe hataki umgongee guest houseAiseee huwa anavaaa nguo nyekundu au maana kuna mmoja pale huwa anavaaga kimini chekundu na blauz nyekundu na ni mweupe
Basi wanaume tumekwishaNi kweli mkuu,
Daah aisee kumbe ndo yuleee....du mweupe hv...Ndio huyo huyo mkuu,
Yaaah yule mama nampataMpinzani wake mkubwa ni mama mmoja wa kigoma mnene haswa na ana mzigo wa kutosha nyuma na yeye anatumia kizizi pia ila kamwe hataki umgongee guest house
Mkishakubaliana anakupeleka chumbani kwake anakupikia na msosi kabisa.
Aiseeh unaweza kunipa namba zake nimuulize kama ni kweli hizi tuhuma.
Nimecheka sana.Wakome tuMWANANYAMALA WANAWAFANYISHAGA KWENYE FISI!
mi nimesikia tu!
ILA NA NYIE WANAUME MMEZIDI!
acha mfanyishwe mpk kwneye mizoga!
Usiwe mwepesi kuongea hivo inawezekana mwenza wako mtarajiwa au uliye nae sasa kama mume ni muumini mzuri wa huo msukule na Kwa maana nyingine kama yeye ni muumini nawe umeolewa nae inamaana wote mnalala na misukuleWakome tu
Tatizo nyegeMWANANYAMALA WANAWAFANYISHAGA KWENYE FISI!
mi nimesikia tu!
ILA NA NYIE WANAUME MMEZIDI!
acha mfanyishwe mpk kwneye mizoga!