Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Sinza: Kahaba anatumia misukule kujiuza

Mhhh....Mademu wote hawa bado unaangaika na chips funga!! Ushalala nao sana, hiyo misukule ndio inatumika kuleta mvuto ....we ukienda unabeba tu kumbe ni msukule.... Demu mwenye sijui ndio huyu embu bofya hapa http://bit.ly/2uaQ4I6 umsaminishe!
 
Wanabodi,

Na declare interest: mimi ni muumini mzuri wa kununua machangudoa Sinza hivyo taarifa hii inatoka katika vyanzo vyangu vya ndani.

Kuna changudoa mmoja yupo Sinza Africa sana, huwa anakaa jirani kabisa na Ambiance na bar za jirani..

Changudoa huyo mweupe (sina hakika kama ni weupe OG), ana lafudhi ya Kisukuma. Chagudoa huyu amekuwa akilalamikiwa na wenzie kwa kujihusisha na imani za kishirikina katika biashara yake ya kujiuza.

Moja, amekuwa akishutumiwa kuwa anawafanyisha mapenzi wanaume na misukule. Hivyo wanaume huwa hawafanyi mapenzi na yeye bali wanafanya na misukule kwa kivuli chake yeye.

Mbili, amekuwa akitumia dawa za miti shamba ili kuvuta wateja. Amekuwa akishawishi na wenzie waende kusafisha nyota ili wapate wateja zaidi.

Tatu, amekuwa bingwa wa kuwapa dawa za kienyeji machangudoa wenzie ili kuondoa uchovu hasa wanapokuwa na wateja wengi. Kwa muujibu wa machagudoa ni kwamba ukipata wateja wengi usiku mmoja mda mwingine unapata hata kizungu zungu sababu ya uchovu hivyo binti huyu amekuwa akiwapa wenzie dawa ili waweze kufanya siku nzima bila kuchoka.

Nne, amekuwa akiwapumbaza wanaume na kuwaibia pesa kishirikina. Hivi jana ameiba milioni kumi za mfanyakazi wa idara nyeti akiwa na mwezie mmoja. Mwenzie amekamatwa lakini yeye hajulikani alipo. Ila haijafahamika ofisa huyo aliibiwaje milioni kumi, alitoka nazo wapi na alikuwa anaenda nazo wapi?

Tano, amekuwa akitengwa sana na wenzie kwakuwa inasemekana changudoa aliyekaribu nae huwa hafanyi kabisa biashara. Wanadai anawaibia nyota wenzie na huwa anapanga vichwa balaa bila kupumzika, 24x7.

Wasifu wake: Binti wa kisukuma, ana watoto watatu, mwanaume aliyezaa nae mtoto wa tatu anaishi Mwanza na huyo mwanaume anajua kazi ya mke wake lakini hana usemi kwasababu zinazoaminiwa za kishirikina.

KAMA ULIKUWA HUJUI: Hata machagudoa wanaamini Mungu yupo, kuna machangudoa wanasema kama wewe sio mshirikina ni bora kumuomba Mungu. Kwakuwa katika biashara zao kuna chuki na visasi sana, huwa wanatupiana mpaka majini.

Mi sijataja jina la mtu, tafadhali dada usinitafute
Namtaka huyo dada misukule hawana ukimwi
 
Una ushahidi wa kutosha kuhukumu maisha ya mtu kwa mambo hayo
 
Shetani mwenyewe hakuwafundisha hivi hakika watu wanajiongeza
 
MWANANYAMALA WANAWAFANYISHAGA KWENYE FISI!
mi nimesikia tu!

ILA NA NYIE WANAUME MMEZIDI!
acha mfanyishwe mpk kwneye mizoga!
Ili swala nilishaga wahi kuliwaza katika tafakuri tu za kawaida kwamba je wale wadada anawezaje kumudu hadi watu kumi kwa siku kila siku, na pia kama wanaojua ushirikina wamo mulemule hawatafanya utaalamu mwingine kweli,
Kwahiyo mbali na kutumia misukule kuna kuporwa nyota pia ama kubebeshwa mzigo(mkosi) wa changudoa akakupa wewe maana ngono ni mlango na mlangoni kinapitishwa chochote inategemea tu aliyekuja kaleta nn,
 
Back
Top Bottom