Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,455
- 12,330
Hapa namuona Niyonzima vs Kagere niwatu wawili tofauti kabisaBila upendeleo wowote mbantu yeyote ni rahisi kuishi nyumba moja Mhutu kuliko kuishi nyumba moja na mtusi.
--:Mhutu analala na anakula chochote bila manung'uniko yeyote,unaweza akakaa kwako umemhifadhi ukawa unampaa mikazi migumigumu bila hata malipo na akatulia Tena asiwe na kinyongo chochote na kazi akakupigia fresh ili mradi usimuonyeshe Hali ya kumnyanyasa .
-: Mtusi ni mchaguzi kuanzia eneo la kulala Hadi chakula hata kazi ,kazi za nguvu hapana ukiishi nae kwako unaweza shangaa anataka uishi Kama anavyotaka yeye kwako mungu amewajalia kitu kimoja tu wako very Bright darasani basii
Sasa hii fursa ya kabila moja kuwa na miguvu na jingine kuwa na akili PK angeitumia vizuri kwakweli Rwanda ingekuwa kama nchi moja wapo tajiri barani ulaya ,bahati mbaya ametanguliza mtutu wa bunduki mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app