makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,578
- 82,414
Utamu wa pilau ule taratibu ukibugibugia utapaliliwa upate kilungulila bure .
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora upaliwe kuliko kula nusu nusu! Raha fulu mziki sio kimoja, tunatulia, kimoja tena tunatulia, kimoja tena tunatulia tunakuwa kama wanaume wa dar bana! 🤣