The Stig
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,113
- 1,106
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu wa hili gazeti. Baada ya kuona kuwa siku hizi limekuwa gazeti la magamba, basi nimeona sina haja ya kununua propaganda. Mimi mwenyewe naweza kufikiria bila ya kusaidiwa na mhariri wa gazeti.
Nawatakia kila la shari.
Nawatakia kila la shari.