Sintonunua tena gazeti la The Citizen

Sintonunua tena gazeti la The Citizen

The Stig

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
1,113
Reaction score
1,106
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu wa hili gazeti. Baada ya kuona kuwa siku hizi limekuwa gazeti la magamba, basi nimeona sina haja ya kununua propaganda. Mimi mwenyewe naweza kufikiria bila ya kusaidiwa na mhariri wa gazeti.

Nawatakia kila la shari.
 
Unataka kila siku waandike yanayokupendeza? Lakini mwananchi unasoma? Wewe kweli umeishiwa
 
Huo ndo uhuru wa habari Kumbuka zilipo kufarahisha wewe kuna mwenzako zilimkera

Uamuzi uliochukua ni uamuzi wa watu Dhaifu kabisa Sitegemei wewe Comrade kuwa kwenye kundi hilo.

Itengue hoja yako kwa maslai yako
 
Huo ndo uhuru wa habari Kumbuka zilipo kufarahisha wewe kuna mwenzako zilimkera

Uamuzi uliochukua ni uamuzi wa watu Dhaifu kabisa Sitegemei wewe Comrade kuwa kwenye kundi hilo.

Itengue hoja yako kwa maslai yako

Wala huhitaji kutuambia umeacha kununua fanya kimyakimya wakiona mauzo yameshuka watabadili style ya kuandika
 
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu wa hili gazeti. Baada ya kuona kuwa siku hizi limekuwa gazeti la magamba, basi nimeona sina haja ya kununua propaganda. Mimi mwenyewe naweza kufikiria bila ya kusaidiwa na mhariri wa gazeti.

Nawatakia kila la shari.
Mkuu.unataka kila siku.waandike kuhusu Slaa
 
Unaweza kuendelea tu kulisoma ili upate mtazamo wa media pia zilizo egemea upande flani ili uwe kwenye nafasi ya kujua jambo lilelile kutokea katika pembe tofauti.
 
aaahh jamani nyie hamjamuelewa huyo! Yaani anataka mumsaidie kuliponda gazeti husika ili a-conferm kama yuko sahihi ktk mawazo na maamuzi yake! Lkn ananikumbusha huko kwetu nilikokulia kulikuwa na chizi mmoja alikuwa kila akiudhiwa anachukua chupa ya soda anaanza kuiponda ponda tena anafanya hivyo anapoona kuna watu wamekaa sehemu basi anajisogeza jirani yao halafu anaanza kufanya hiyo kazi yake, basi anakuwa anasubiri mumkataze ili ujumbe umfikie aliye muudhii! Haaahaaaahaa!
 
Back
Top Bottom