PreGE2025 Sintofahamu yatawala CHADEMA: Siku ya Pili Kada Hilda Newton hajaonekana

PreGE2025 Sintofahamu yatawala CHADEMA: Siku ya Pili Kada Hilda Newton hajaonekana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea kumtafuta kada wake Hilda Newton aliyepotea tangu Alhamisi, Aprili 24, 2025, mara ya mwisho akionekana katika viunga vya Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.

IMG_4238.jpeg
Kupitia mitandao ya kijamii, wanachama wa CHADEMA wameeleza wasiwasi wao, wakidai kuwa Hilda alikamatwa na Polisi akiwa mahakamani. Hata hivyo, taarifa rasmi ya Jeshi la Polisi iliyotolewa na Kamanda SACP Jumanne Muliro imetaja majina ya wanachama watano waliokamatwa, huku jina la Hilda likikosekana.

Soma, Pia: Jeshi la Polisi: Tuliimarisha na kuweka ulinzi mkali Kisutu kutokana na matishio ya kiusalama na vitendo vya uhalifu

Taarifa hiyo imeongeza sintofahamu na hasira miongoni mwa wafuasi wa CHADEMA, wakitaka maelezo ya kina kuhusu alipo Hilda, huku wengine waliokamatwa wakiripotiwa kupatikana wakiwa wamejeruhiwa vibaya pembezoni mwa jiji.

IMG_4239.jpeg

IMG_4248.jpeg

IMG_4247.jpeg
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea kumtafuta kada wake Hilda Newton aliyepotea tangu Alhamisi, Aprili 24, 2025, mara ya mwisho akionekana katika viunga vya Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.

Kupitia mitandao ya kijamii, wanachama wa CHADEMA wameeleza wasiwasi wao, wakidai kuwa Hilda alikamatwa na Polisi akiwa mahakamani. Hata hivyo, taarifa rasmi ya Jeshi la Polisi iliyotolewa na Kamanda SACP Jumanne Muliro imetaja majina ya wanachama watano waliokamatwa, huku jina la Hilda likikosekana.

Taarifa hiyo imeongeza sintofahamu na hasira miongoni mwa wafuasi wa CHADEMA, wakitaka maelezo ya kina kuhusu alipo Hilda, huku wengine waliokamatwa wakiripotiwa kupatikana wakiwa wamejeruhiwa vibaya pembezoni mwa jiji.
Mme wangu naenda maandamano ya CDM nitarudi baada ya siku kumi,kumbe yupo kwa mchepuko
 
CCM na Polisi wao watakuwa wamembaka, kumtesa na hata kumuua.

Matukio waliyofanyiwa jana Chadema ikiwemo lile la yule mtu mmoja kuuwawa yanapaswa kuwa documented vizuri sana na wakati sahihi ukifika kutumika kuwafikisha Mahakamani hawa Watawala wa sasa.

General Augusto Pinochet alifanya matukio kama haya na alijiona kila kitu ila alikuja kufikishwa Mahakamani akiwa mzee sana na haki za watu aliowaua, kuamuru wabakwe na kuteswa zilikuja kupatikana mwishoni
 
Haya matukio yote yapaswa kuwa documented vizuri sana.

Rais, IGP wa sasa, Mkuu wa Operesheni Polisi huyu Kamishna Awadhi, Muliro na Msaidiz wake, DGIS, Anayesimamia Operesheni za ndani TISS wote acheni wajione wako salama sasa. Ila ipo siku wasioijua hata wakiwa wazee sana haya yote yatafanyiwa kazi dhidi yao.

Ila nawasisitiza mnapaswa ku document haya matukio vizuri sana maana siku Mahakama za Kimataifa za Jinai zikisema tupeni ushahidi mnakuwa nao wote na mnawapa.

Pigeni picha miili yao, wanavyowapiga kuwatesa , hifadhini zote, rekodini matukio ya video muyasave haya kwenye emails huko. Rekodini maelezo ya mashahidi na muyasave kwenye njia mnazozijua.

Ipo siku haki za hawa watu zitapatikana tu.
 
Mme wangu naenda maandamano ya CDM nitarudi baada ya siku kumi,kumbe yupo kwa mchepuko
Angali maumivu ya wenzako yasiwe furaha kwako?watu walilia miaka yote,lakini Mungu alipopiga pigo moja tu takatifu,mlilia mpaka mkatunga na nyimbo
 
Back
Top Bottom