Single room inahitajika!

Single room inahitajika!

Hahahha naona kamganda kweli sijui alitaka apewe yeye hayo maneno matamu!
...hahahaha...mtoto una akili sana,ulijuajee!!???
..afu faili lako limenifikia,mashaallah mtoto una lips denda za ukweli kinyama!!
.nikishauza vitunguu ntakuibukia hukohuko Dar kwenu
 
Hebu tutoke kwenye uajabuajabu wako, twende kwenye kazi.

Chumba self contained maeneo ya Mwenge, Survey, Makumbusho au Namanga kinapatikana?
Vinapatikana,
Nipatie sifa na bajeti (ofa) yako.
Kurahisisha mambo nitwangie tuyapange:
+255-714-59-15-48
 
...hahahaha...mtoto una akili sana,ulijuajee!!???
..afu faili lako limenifikia,mashaallah mtoto una lips denda za ukweli kinyama!!
.nikishauza vitunguu ntakuibukia hukohuko Dar kwenu
Una uhakika ni mm huyo???
 
Unachelewa nini nipigie,

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni Kodi ya mwezi mmoja,
Kukagua nyumba kuna malipo kidogo

[HASHTAG]#dalalitz[/HASHTAG] (GeneralBroker):
+255-714-59-15-48.

Tuma picha ya chumba ndani na specifctn wapangj wangp maji umem vp biashar teknologia imekua boss kuzungushana mjini na jua ili sio mpango
 
Chumba kipo self-contained.. Umeme., maji, ndani ya geti sema dalali muhimu...
 
Tuma picha ya chumba ndani na specifctn wapangj wangp maji umem vp biashar teknologia imekua boss kuzungushana mjini na jua ili sio mpango
Nimekuomba unipatie maelezo ya utakacho,wapi na kwa bajeti(ofa) gani.
Vinginevyo nitakuwa natafuta nisichokijua na kusikojulikana.

Vinginevyo nitwangie tuyajenge:
+255-714-59-15-48
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom