Single mothers, ni nini chanzo?

Single mother fashion kwa ma feminists but FAINALI UZEENI.... and that time MTOTO anataka babake... ndio "JOTO YA JIWE KWISHA JUA"
Lkn jmn naona wngi wanazungumzia upande mmoja,kunawaobakwa wanaopata mimba mashuleni ktk ile foolish age xx na hao tunawaweka kundi gani???hili swala lipo deep xana na nipana mno tucilichukulie juujuu,na wngi wa single maza ni hao wa mimba mashulen afu kidume anakula kona miaka 30 jela mchezo!!!![emoji27] [emoji27] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 

Wakinababa wasiotaka kulea watoto wao, na kuwatekelezea waking mama. It takes two to tangle.
 
Mnh labda kama huna watoto,ukiwa nao hao ndio wawe important,sio mabishano ya kijinga na mkeo,paka anaenda na paka,mpaka umemuingiza ndani/kumuoa huyu ni paka mwenzio ,lol.
Kunautofauti mkubwa sana wakati wa kampeni na wakati mtu ameshapata madaraka naomba ulikumbuke hilo
 
Hakika umenena .... Being raped OMG .... pole kwa hao wenzetu wanaokumbwa na hiyo dhahama .....
 
Wakinababa wasiotaka kulea watoto wao, na kuwatekelezea waking mama. It takes two to tangle.
I second your opinion Mama Obama .... It's true with that idiomatic expression .... How comes both parties ( man & woman ) are involved in the ACTION but the responsibility goes to only one?
 
Kujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
Mkuu unatumia kinywaji gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…