Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
Unajua wengine kama mimi huwa hata hatujifichi na hizo IDs zetu zingine na huwa zipo standby tu just in case tunafungiwa maana always yupo one click away na ban.

Sasa kwangu ukimfungia NN basi ujue Bwa'Nchuchu ataibuka. Naye huyo ukimfungia basi ujue Jini Mapembe atatia timu na mwandiko utaendelea kuwa ni ule ule. Hatujifichi.

Sasa hawa wengine tatizo lao ni 'monkey see, monkey do'. Kazi kuiga iga tu kuwa na multiple IDs halafu hata hawajui dhumuni lake.

Niliona warumi pia alivokuwa huru kutumia gossipcopwarumi
 
Last edited by a moderator:
nitaunganisha id zako nawe una hamu eeeeh

Unganisha zote kwan tunafungwa jela atii au yaan inakuwaje kuwaje mi naona kawaida maana humu wengi wana Id nyingi sema namna ya kuzitumiaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom