Mwanzoni nilishangaa inakuwaje member
mpya afu anajua member wengine nikaignore
instincts kumbe my instincts were right
Sijawahi kuwaza kua na id mbili aise, huo mda wanapata wapi?
Nilikwambia mimi ndo teacher mwalimu!Ngachoka kapsaaa........kumbe u read my instincts eeh...was like whaaat..umenifunza vema mwalim
Mwanzoni nilishangaa inakuwaje member
mpya afu anajua member wengine nikaignore
instincts kumbe my instincts were right
unakuwa na uhusika wa wasifu tofauti tofauti...ila mambo haya bana
hakuna lolote mode wamenifurahisha
mtu anaanzisha thread anajiquote mwenyewe anajiwekewa likes mwenyewe ajabu
Mwanzoni nilishangaa inakuwaje member
mpya afu anajua member wengine nikaignore
instincts kumbe my instincts were right
Members 'wapya' MMU ni hardly 'wapya'.
Wengi ni wale wale wa siku zote tu.
Members 'wapya' MMU ni hardly 'wapya'.
Wengi ni wale wale wa siku zote tu.
si ndio hapo kwa hizi merging ngoja niendelee kuwa
na hii I'd tu
Unakumbuka ile thread ya Mr.Gentleman ya member wa zamani kuja na ID mpya alivyokuwa na kiherehere cha kutaka kuwajua
duuuh, kweli mchepuko sio dili
Ila inawafaa nini?
Ni swali najiuliza spati jibu!
hii thread sikuwepo na hata sielewi nini kilitokea
ilikuwaje The secretary