Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
Anhaaaaa hapo sawa!
Nilitaka tu kuwa na uhakika!
Maana Kaizer naona puresha juu ,sa sijui kote alijifanya Etoo?
Ahajhahahaha speaking of kaizer, wheeeeeere is Asprin?

120/80 mwalimu wangu....na serengeti platinum pembeni.....wewe nadhani fresh juice itakufaa...mwaah
 
Last edited by a moderator:
na alikua faster maana kucheza na ID mbili wakati mmoja yapasa uwe sharp. kuna ile ya niliemkosea morg aliandika sijui tusameheane akajibu faster leo yanipasa kuvuta kumbukumbu stahiki
Very simple ukiwa na device mbili!
 
Instincts Kaizer.instincts !
Ulijiulizia mapemaaaaaa !
"Kwani huu mbadala viiiije?"

Ngachoka kapsaaa........kumbe u read my instincts eeh...was like whaaat..umenifunza vema mwalim
 
Naungana nawe vaisely mm ni single mom mwanangu anamiaka 4 now cjawahi kujutia hata cku Moja maamuzi Yangu ya kuwa single mom coz hao wanaume wanaotusema cc kuwa used bora yetu jiulize unakutana na binti anamiaka 30 Hana mtoto jiulize ameuwa wangapi?yote hyo anataka aonekane hajazaa bora cc 2liozaa huwa najickia fahari Sana nikitoka job napokelewa na my son am so proud name ctajuta
 
120/80 mwalimu wangu....na serengeti platinum pembeni.....wewe nadhani fresh juice itakufaa...mwaah

Ahahahahahahahaha hii mwaah ni hongo ili ninyamaze?
Hahahahaha uzuri wako hii unaweza kuiweka fresh kabisa sina khoff !
Haya enenda na amani .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom