Kwani huyo Morg alichafua hali ya hewa?
Ila watu ni wapuuzi sana. Hivi unajua kuwa huyo Vaislay naye alichangia kwenye hii mada?
Yaani mtu huyo huyo aliyenzisha mada anaingia na (ma)jina jingine na kuanza kuchangia na kujijibu mwenyewe....
Duh! Kweli JF msitu.
khaaaaaaaaa Heaven niazime miwani nahisi macho yangu yameingia kiwi lol
Sasa admin kaziunganisha tu hizo IDs bila sababu?
Na unaeza ukute unajitongoza mwenyewe!hapo ndio nimeshangaa alikua sharp kureply na I'd zote
hiki ni kichaka waweza jikuta watongoza mtu mara mbili mbili
Na unaeza ukute unajitongoza mwenyewe!
Si ni kama kujijibu mwenyewe tuu!
Na unaeza ukute unajitongoza mwenyewe!
Si ni kama kujijibu mwenyewe tuu!
hahahaa miss neddy utaniua kwa kicheko ngoja nikupe mawani yangu lol
we hem piga kimya!Najua wa kucheka atacheka na mwenye akili atakuwa na akili, Mimi sio Morg nami nimeshangaa vaislay akawa morg,so whatever you think of me, its fine.....
Mtapeana miwani hata darubini ikiwezekana
Najua wa kucheka atacheka na mwenye akili atakuwa na akili, Mimi sio Morg nami nimeshangaa vaislay akawa morg,so whatever you think of me, its fine.....
Mtapeana miwani hata darubini ikiwezekana