Wewe mbona mzuri tena sana tu mpendwa.Wanasema wazuri hawaolewi mkuu, mie siko kwenye hilo kundi la uzuri niko kwenye foleni ya kuisubiria siku yenyewe!!!!
Kumbe na wewe umeshangaa kama mimi mkuu, pengine sakayo anatuzugaAisee hata mimi nilikuwa najua umeolewa na mtu mwenye bahati sana!
Haya bwanaWewe mbona mzuri tena sana tu mpendwa.
Hao wanaosema wewe sio mzuri hawajui maana uzuri, pengine labda walitaka uwe kama midoli ya nguo ndio maana yao ya uzuri.
Ila naomba uniamini mimi wewe ni mwanamke mzuri sanaaaa....
Huna aja ya kupanga foleni mpendwa siku akikuona anaejua nini maana ya mwanamke mzuri hawezi kusubiri hata siku ipite
Sikufahamu Sakayo.Haya bwana
Umeongea kwa kujiamini mpaka nkageuka nyuma labda unanijua na uko jirani yangu!!! Anyway tuombeane kila lenye kheri tuu mkuu!!!!
Ni kweli kabisa mtaani kwetu wanne washaolewa wenye bikra zao za uzazi wanasugua gaga tu..[emoji2] [emoji2]
AsanteNao pia wanahitaji kuolewa......kuzalishwa na kuachwa sio mwisho wa maisha yao
Hongera kwa wote wenye mapenzi ya dhati kwa single mums
AmenSikufahamu Sakayo.
Hakika mimi binafsi nakuombea umpate wa kufanana na wewe na utampata tu.
Bila shaka ni muhaya wewe.Mila za kabila letu haziruhusu kidume kuoa mwanamke aliyekwisha zalishwa! Ni mwiko kabisa.