Single mama, wawapiku wasiyo single mama kuolewa

Single mama, wawapiku wasiyo single mama kuolewa

Iv kwa akil tu ya kawaida uoe mwanamke ambaye kashazalishwa na jemba jingine?

Haiwezakan aisee
Kwa makapuku kwa wewe haiwezekani ila kwa vibopa kama familia ya waziri Mkuu hivi imewezekana bwana hahaha Zamaradi kashabebwa tayari pamoja na watoto wake wawili
 
Poleni na stress za mahusiano, pia hongereni kwa furaha ya mahusiano

Tuje kwenye hoja ya msingi, katika jamii zetu kumekuwepo na kina dada wanaozishwa na kuachwa na wazazi wenzao kwa sababu mbali mbali tu, hawa kina dada vijana wengi huwakwepa kuanza nao maisha kwa sababu tu wana watoto walishazaa hivyo vijana uitaji binti ambaye ajazaa kabisa.

Tuje katika uhalisia, uhalisia huu angalia hata hapo ulipo wadada wangapi unaowajua walizalishwa jamaa anaingia mitiani ila kwa sasa wamepata wanaume wengine wanaishi nao wengine wamefunga na ndoa kabisa wewe fikilia unaowajua utapata jibu kuwa single mother wengi sasa hivi wanapata mahusiano ambayo yanaeleweka tofauti na hawa ambao wanajiona bado mabinti wengi uchezewa na kwakua bado kuzaa ukiona wao bado mwisho wa Siku uzekea nyumbani au kuzaa na wame za watu .

Juma pili njema.
Kwa hiyo mtoa mada unashauri dada zetu ili wapate kuolewa waanze kuwa single mothers na hiyo iwe ndiyo tikect za kuolewa? Huenda ulikuwa unaandika ukiwa usingizini? Kwa utafiti mdogo nilioufanya hao single mothers huwakupenda wala kutarajia kukutana na hiyo hali. Ila sasa imetokea wanafanyanyeje ni kukubaliana na ukweli uliopo.
 
I love them.
Most them wanajitambua.
Siku nikipata anayejitambua nikampenda, naweza tangaza nia kwake.
 
Hongeraa kwao!!!! Siku zote mvumilivu hula mbivu, huwa wanasemwa mnoo ila mwisho wa siku ndo wanatuacha kina sie tunasubiria kwenye foleni!!!

Heshima kwenu single mama!!

Na wewe bado una subiri mpaka Leo?

Mbona wewe ni mwanamke mzuri sana na una sifa zote stahiki.

Naomba Leo nikutembeleee kama hutojari
 
Na wewe bado una subiri mpaka Leo?

Mbona wewe ni mwanamke mzuri sana na una sifa zote stahiki.

Naomba Leo nikutembeleee kama hutojari
Wanasema wazuri hawaolewi mkuu, mie siko kwenye hilo kundi la uzuri niko kwenye foleni ya kuisubiria siku yenyewe!!!!
 
Unataka single mothers waanze kushambuliwa tena,haya mambo yalikuwa yameshaisha
 
Single mom wengi wanatendwa ,wanakutana na magumu mengi kwa waliowazalisha wanaamua kumove on,sasa akikutana na mtu wa kipendana akampa sababu zilizonyooka na ushahidi juu,kwa nn aliachana na mzazi mwenzie,lazima atamuelewa tu na mwisho wake kutangaza ndoa.
True
 
Hapana kuna kitu kimoja singles mothers wanacho, awa vichunusi wengine hawana single wanaheshimu sana ndoa na wakipata mtu anayewapenda, wengi wao wamepitia mazito, ila wakipata mtu wanatulia wanmwona kama hero,...

Sio kweli.

Mshipa ulomshinda fisi mbwa atauwezea wapi ???

Hapa inabidi tuwatenganishe wanawake ktk msingi Wa tabia zao nasio kuzaa au kutozaa.

Kuna single maza walikua single maza sababu njemba zilikimbia mimba ,, wengine walizalishwa utoton tu. Wengine walikua ktk ndoa maisha safi lkn waume zao wakawafukuza kwa sababu tu wametaka kuwafukuza ila mama alikua Royal.wengine wakaamua tuu kujivua ,yaaan alikua Royal sana kavumilia mno lkn mateso hayavumiliki.

Waaina hii iyo [emoji115]anafaa .

ILA SASA USIOMBE UKAKUTANA NA SINGLE MAZA KWANZA ALIACHWA SABABU YA UKOROFI ,UZINZI ,JEURI,,USHIRIKINA,MATUSI YAAN KWAUFUPI ALIACHWA SABABU HAKUA ANASTAHILI KUA MKE WA MTU ...ALAFU SASA WEWE NDO UMCHUKUE ,,AISEEEE KILA SIKU UTAIMBA " MWANAMME TUMEUMBWA MATESO".
single maza waaina hiii wanafaaa tu kua nao "Kimahusiano".

Sasa suala LA kusema angalia ktk jamiii oohhh single maza wamewapita wasio singo linategemea na jamii ulopo...

Ila tusikimbie ukweli ,,, mwanamke single maza Mara nyingi kwanza yeye mwenyewe hua anajikatia Tamaa ya kutoolewa tena,, na inapotokea Fursa ndio maana huwa wanaitumia kweli kweli hawataki makosa.

Namara nyingi mwanamme anayeoa Single maza ,,huwa niyule either naye aliachika ,au hajaoa ila anamtoto ( ujana) au aliumizwa sanaaaaaa kimapenzi nahawa mabinti ,,sasa anatafuta MTU ambaye naye keshaumia au tu iman yakwamba single maza wanamapenzi .

Ukweli nikwamba ,,Mwanamke ambaye hajawahi olewa au kuzaa,, ndio anayeamini KWAKE kuolewa nisheria nasio kama Bahati kwa single maza.

Nahitimisha kwakusema ,,,"" Maswala ya nani anaolewa nani anaoa tuwaachie waoaji na waolewaji , mapenzi yananguvu sana ,,tena siku izi ukichanganya na limbwata ya maji ya "Chupi" [emoji23][emoji23][emoji23] ndo kabisa MTU hapumui.

Kuoa ,,we oa ,,ukioa mwanamke mwema utaishia kupata Raha ,,,,ukioa mwanamke mbaya utaishia kuimba nyimbo za mabata madogo madogo yanaogeleaaaaaaaaaa yanaogeleaaaaaaaa katika shamba zuriiiiii LA busataniiiii
 
Na wewe bado una subiri mpaka Leo?

Mbona wewe ni mwanamke mzuri sana na una sifa zote stahiki.

Naomba Leo nikutembeleee kama hutojari
Wanasema wazuri hawaolewi mkuu, mie siko kwenye hilo kundi la uzuri niko kwenye foleni ya kuisubiria siku yenyewe!!!!
Aisee hata mimi nilikuwa najua umeolewa na mtu mwenye bahati sana!
 
Shida sio kuwa single mother coz hata hivo ni bora single mother kuliko anayeua kila kila siku,mitazamo yao dhidi ya wanaume baada ya kuzalishwa na kuacha ndiyo shida pekee waliyo nayo.....unakuta mtu moyo wa kupenda hana tena...sasa unamuoa ili iweje...unakuta mtu ana chuki dhidi ya wanaume sasa unamuoa ili iweje?unakuta mtu wana mazoea ya karibu na baba watoto wake unamuoa ili iweje maana single maza wapo wa aina mbili wa kwanza bahati mbaya,wa pili mwanamke mwenyewe anapenda mpk anakuwa kipofu anashika mimba akijua hapendwi ila akijipa imani nitapata mtoto mzuri mweupe km baba yake...binafsi naweza kuoa single mother ila tu na lzm nipime akili yake..sitaki stress za aliyopitia anitwike mimi mzigo
 
ni kweli mtupu...lakini walioolewa wana sifa kuu moja..ya uchakarikaji.
wapo wanne wameolewa
mmoja anamiliki maboutique..
wapili mgahawa mkubwa
watatu anamiliki hoteli.
wanne ana cheo chake kwenye kampuni huko

hakuna mwanaume anaependa mwanamke mzigo.na bado unatafuta wa kumwachia mzigo wa kulea..no!
 
Hili suala mnalikuza humu tu jf kama mambo mengine tu, ila ktk uhalisia ni tofauti sanaaaa.
 
Na wanajituma kitandani jikoni na kila mahali ukikohoa kaitika lkn Hawa wakwenu kutoka vyuoni[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji16][emoji16][emoji16]Team roboti watakavyokujia juu na uzi utaomba ufutwe hihihihiiii
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
True bro, afu ni wachapakazi balaa, awana drama wala kuchepuka, heko yao
 
Back
Top Bottom