REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,164
- 11,266
Poleni na stress za mahusiano, pia hongereni kwa furaha ya mahusiano
Tuje kwenye hoja ya msingi, katika jamii zetu kumekuwepo na kina dada wanaozishwa na kuachwa na wazazi wenzao kwa sababu mbali mbali tu, hawa kina dada vijana wengi huwakwepa kuanza nao maisha kwa sababu tu wana watoto walishazaa hivyo vijana uitaji binti ambaye ajazaa kabisa.
Tuje katika uhalisia, uhalisia huu angalia hata hapo ulipo wadada wangapi unaowajua walizalishwa jamaa anaingia mitiani ila kwa sasa wamepata wanaume wengine wanaishi nao wengine wamefunga na ndoa kabisa wewe fikilia unaowajua utapata jibu kuwa single mother wengi sasa hivi wanapata mahusiano ambayo yanaeleweka tofauti na hawa ambao wanajiona bado mabinti wengi uchezewa na kwakua bado kuzaa ukiona wao bado mwisho wa Siku uzekea nyumbani au kuzaa na wame za watu .
Juma pili njema.
Tuje kwenye hoja ya msingi, katika jamii zetu kumekuwepo na kina dada wanaozishwa na kuachwa na wazazi wenzao kwa sababu mbali mbali tu, hawa kina dada vijana wengi huwakwepa kuanza nao maisha kwa sababu tu wana watoto walishazaa hivyo vijana uitaji binti ambaye ajazaa kabisa.
Tuje katika uhalisia, uhalisia huu angalia hata hapo ulipo wadada wangapi unaowajua walizalishwa jamaa anaingia mitiani ila kwa sasa wamepata wanaume wengine wanaishi nao wengine wamefunga na ndoa kabisa wewe fikilia unaowajua utapata jibu kuwa single mother wengi sasa hivi wanapata mahusiano ambayo yanaeleweka tofauti na hawa ambao wanajiona bado mabinti wengi uchezewa na kwakua bado kuzaa ukiona wao bado mwisho wa Siku uzekea nyumbani au kuzaa na wame za watu .
Juma pili njema.


anafaa .
