Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Mpeleke muhimbili mkuu, naona huyu binti ako na tatizo kidogo
Yaani tunaowaambia ukweli ndiyo tuna matatizo ila wanaowapigia makofi kwenye kila kitu mnachosema hata kama ni ujinga ndiyo hawana matatizo
 
Hata nikikutajia bado hauwezi kuamini kama nakujua

Edelyn
Edelyn ni jina la juzi tu, nataka ID ya mwaka 2014 huko... Perhaps I had a bang with you[emoji23][emoji23][emoji41]
 
Sasa si uangalie nimejiunga lini JF mkuu? Sijawahi kujiunga JF zaidi ya mara mbili!
Edelyn ni jina la juzi tu, nataka ID ya mwaka 2014 huko... Perhaps I had a bang with you[emoji23][emoji23][emoji41]
 
Sasa si uangalie nimejiunga lini JF mkuu? Sijawahi kujiunga JF zaidi ya mara mbili!
May 20th na unasema unanijua mkuu? Nah! Niliacha kujuana na wanajf mda sana... unadanganya!
 
Kwani nani kakwambia kuwa nimekujua JF? Mie nimekujua kabla hata sijajiunga JF ila wewe ndiyo haunijui na siwezi kukwambia nimekujuaje ah bwana acha maswali wewe kama hauamini basi sawa!
May 20th na unasema unanijua mkuu? Nah! Niliacha kujuana na wanajf mda sana... unadanganya!
 
Kwani nani kakwambia kuwa nimekujua JF? Mie nimekujua kabla hata sijajiunga JF ila wewe ndiyo haunijui na siwezi kukwambia nimekujuaje ah bwana acha maswali wewe kama hauamini basi sawa!
Aaah, sasa unanipa maswali we mtoto!!
 
Yaani tunaowaambia ukweli ndiyo tuna matatizo ila wanaowapigia makofi kwenye kila kitu mnachosema hata kama ni ujinga ndiyo hawana matatizo
I AM VERY SORRY DEAR, pole sana dada, nilikuwa najoke tu, i am very very sorry nisamehe bure my dada pls
 
Ndiyo 'Nisaolewa'
nice to hear that, now basi usiwe unachangia mambo ya single ladies pls, shugulika na mumeo, hii mambo achie single ladies na single men like me my dear sister,focus on your family such issues pls leave it to others, and i am telling you this in very good faith my dear sister, be blessed and may lord shower his blessings on you dear sister,bye
 
Hivi kumbe tunapangiana hadi hoja za kuchangia humu??
 
Hao walioolewa ndoa zao ni ndoano.
 
Hii sitaijibu. Imekaa kimuhemko zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…