Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Mpenzi umeniangusha yaani mstari mmoja wa huyo kijana unaujibu kwa paragraphs. Anyway inaonekana kama povu
 
We endelea kujijaza ujinga ukifika 50 hujaolewa ndo utajua nini wanaume tunaamanisha
 
laiti kama hao single women wangekuwa kama my mother house Marianah kama mnavyomuona kwenye hicho kikao wangeshapata waume.
 
Ndiyo kwa sababu mambo tunayoyaongelea yapo kidunia zaidi na siyo kijamii pekee
Wewe mtanzania halafu unachukulia reference lifestlye ya mfano Japan. Ina make sense kweliiiiiiii ?
 
Hiyo namba tatu wengi huwa wananisema ila nadhani wananionea
 
Oohh sawa wapo wanaume wasiofanya hivyo lakini mwanamke atajuaje kwamba kampata mwanaume ambaye hatafanya hivyo? Na ukizingatia wanaume wanaofanya hivyo ndiyo wengi kuliko wasiofanya hivyo!
Point hapa ni kwamba Ukii tune akili yako ku focus wanaosaliti wake zao basi siku zote utaishia kuamini wanaume wote wanasaliti wanawake walioanza nao from the scratch and vice versa
 
We endelea kujijaza ujinga ukifika 50 hujaolewa ndo utajua nini wanaume tunaamanisha
Kwa taarifa yako nina miaka 42 na nina mume na watoto sasa sijui unadhani mimi ni kama hivyo videmu vyako unavyohangaika navyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…