Single fathers tukutane hapa

Ukiwa Ni single farther unamaanisha ndo unaishi n.a. mtoto au yupo n.a. mamake we unakula papuchi zingine
 
Ni kweli!!! Mwanaume inabidi aoe mama wa mtoto Ila kupata mtoto pamoja kisiwe ndo kigezo cha kumuoa mtu!!!
Ndo mana jitihada za kuzuia mimba zisizotarajiwa zinabidi kufanywa na wote wawili....

Amen kwa hilo maternal instinct ya mwanamke ni kubwa kwa yule aliyomtoa tumboni kwake kuliko aliyekukuta nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom