Hapo blue, mtu akisoma ataelewa ni kama uwanja umejengwa na tayari serikali imekabidhiwa, bado ipo kwenye proposal na hakuna ambacho kimekuwa implemented mpaka sasa, naona sasa hivi kuna hotel nyingine nayo inakuja kwa kasi inaitwa Bilila Kempesky Hotel
Mkuu Amavubi Grumeti Reserves inamilikiwa na Bwana Paul Tudor Jones bilionea wa kiAmerika.Singita ni waendeshaji wa hizo Lodges & Camps.Bwana Jones anamilikia ekari 350,000 ambazo amejenga lodges & Camps zake na wanyama wa aina mbali mbali.
Kupitia uwekezaji wake mbuga ya Serengeti imekuwa ikipata wageni wa hali ya juu sana eg Melinda Gate,wafalme na mamilionea wa kiarabu.Pia amejitolea kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilaya ya Serengeti na kuukabidhi serekali ya Tanzania.
Naskia inamilikiwa na Riz one.
hana chanzo lakini..............
View attachment 73960
mimi nimefika hapa...lakini kama mjumbe wa tume huru...unaweza na wewe ukadunduliza...........
hana chanzo lakini..............
No.... see what Ngongo wrote...
Hilo Jarida la Travel & leisure ingia Google utapata habari hiyo.... Pia habari za uwanja wa ndege Serengeti jamaa ndio ana finance around $ 300 million ndio anatoa... Tudor tajiri kweli....
Find his Biography, google ....
dola 2000 all inclusive