ulijua mwaka!ahahahhahahahhahahhahahaah hiyo midolari 2000 usingizi mmoja shosti!Thanks but Dola 2000 all inclusive..unamaanisha nini?and hiyo usd 2000 one night stay ama ?
Kazi ipo na ile pale njiani ya BRELA nasikia ina smell of RAT pia, na BRELA ki kifupi cha majina ya vigogo ambapo mmoja si wa AfrikaHawa wote wanaigana na Bilila iko sawa sawa na hii Singita ambapo mkulu nae ametia pesa yake hapo na ana hisa nyingi tu.
ulijua mwaka!ahahahhahahahhahahhahahaah hiyo midolari 2000 usingizi mmoja shosti!
NAONA UMESHTUKA KWELI!
we ulidhani mijiaraha yote hiyo ni sh 32800 ahahhahhahah kitu dolare 2000!
Naskia inamilikiwa na Riz one.Uyo mzungu ni danganya TOTO!!!
Naskia inamilikiwa na Riz one.Uyo mzungu ni danganya TOTO!!!
Hii ni ya baba mwanasha a.k.a. JK
thubutuuu! Hiyo investment sio ya kitoto!
Do we really have to be proud of this? The hotel is owned by an American, secondly the hotel is located on the annually migratory route which endangers the world spectacular and largest herbivorous migration
lazima atakua na mkono wakeni kweli mkuu, insemekana yeye anamilki ardhi ameingia ubia na wawekezaji ambao wao wamejenga jengo na uendeshaji wa hotel, kuna kipindi 2011 kila baada yupo huko si unajua mkuu akiwepo mikoai ni rahisi kugudua kwa kuwa mkuu wa mkoa na wilaya jirani na mbuga lazima waelekee huko kumpokea kama itifaki inavyosema
totally not supportingdo we really have to be proud of this? The hotel is owned by an american, secondly the hotel is located on the annually migratory route which endangers the world spectacular and largest herbivorous migration