Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
- Thread starter
- #101
yaaah na taarifa nyingine ni kwamba kutokana na umbali ngono imekithiri sana miongoni mwa wafanyakazi na wengine hujilengesha (sikujipatiamo)kwa wageni, besides wabongo wanalazimihsa TIP sana mahotelini