Singida yauzwa rasmi kwa mafisadi

Mnyampaa Ifaghaa mie pia niko Singida! ninavyofahamu mie ni kuwa watu watalipwa fidia kama ulivyosema mwenyewe..!! kama kutakuwa na mwenendo tofaut na huu then activists have to do something.!

kwanini hao wananchi wasifanywe kuwa sehemu ya mradi ili waendelee kupata faida itakayozalishwa eneo lao toka enzi za mababu, fidia ndiyo nini, upepo umewafanya wanyaturu meno kutokeza mdomoni leo mnatiwa ujinga na neno uwekezaji? bogus kabisa wewe nyekele na ccm yenu!
 
Anti uko Tanzania?Unakumbuka operesheni vijiji vya ujamaa ilikuwaje?Wengi waliamishwa na matokeo wakabaki watupu

Kama ni maeneo mbona yako mengi na kwa nini wasiende kutafuta maeneo mengine yasio na makazi ya watu
 
kwanini hao wananchi wasifanywe kuwa sehemu ya mradi ili waendelee kupata faida itakayozalishwa eneo lao toka enzi za mababu, fidia ndiyo nini, upepo umewafanya wanyaturu meno kutokeza mdomoni leo mnatiwa ujinga na neno uwekezaji? bogus kabisa wewe nyekele na ccm yenu!

Mkuu umenichekesha hyo meno kutoka mdomoni kwani nna rafiki angu kutoka hapo Singida nae meno yamemtoka nje kwani tatizo nini?
 
Usipende kudharau watu meno kutoka nje ndo umeona point ya kuchangia?


kwanini hao wananchi wasifanywe kuwa sehemu ya mradi ili waendelee kupata faida itakayozalishwa eneo lao toka enzi za mababu, fidia ndiyo nini, upepo umewafanya wanyaturu meno kutokeza mdomoni leo mnatiwa ujinga na neno uwekezaji? bogus kabisa wewe nyekele na ccm yenu!
 
kwanini hao wananchi wasifanywe kuwa sehemu ya mradi ili waendelee kupata faida itakayozalishwa eneo lao toka enzi za mababu, fidia ndiyo nini, upepo umewafanya wanyaturu meno kutokeza mdomoni leo mnatiwa ujinga na neno uwekezaji? bogus kabisa wewe nyekele na ccm yenu!
umesomeka mkuu!
 
Mkiletewa umeme shida msipoletewa umeme shida.

Kuhamishwa watu kwa ajili ya kuleta maendeleo ni kitu cha kawaida duniani. Unafikiri maendeleo yanakuja kwa kuota kama miti?

Wacheni kulala, amkeni. Mnaletewa umeme, mnaanza ooh Singiga imeuzwa, imeuzwa imepelekwa wapi? kuwa na fikra japo kidogo.

Huo umeme twautaka lakini ni busara sheria, na taratibu zikafuatwa kufikia lengo la huo mradi. Hatuwezi kuwa na excuse kuruhusu sheria zetu zivunjwe eti kwa sababu ya mahitaji yetu. Mbona Cameron aliambiwa akae na fedha zake baada ya kutetea ushoga? Kama kuna sheria lazima tuzilinde.
 
Mkiletewa umeme shida msipoletewa umeme shida.

Kuhamishwa watu kwa ajili ya kuleta maendeleo ni kitu cha kawaida duniani. Unafikiri maendeleo yanakuja kwa kuota kama miti?

Wacheni kulala, amkeni. Mnaletewa umeme, mnaanza ooh Singiga imeuzwa, imeuzwa imepelekwa wapi? kuwa na fikra japo kidogo.

Tatizo siyo kuletewa au kutokuletewa umeme. Naamini watu wote wangependa kuletewa umeme. Tatizo la msingi ni jinsi huyo mwekezaji atakavyopewa hiyo ardhi. Je, sheria zote za ardhi zitafuatwa? Watu watafidiwa kihalali? Tumeshuhudia mara nyingi serikali yetu ikinyanyasa wananchi wake in favour of wawekezaji. Tunachotaka na sheria zifuatwe.
 
Ccm jitahidini kuiuza nchi yetu ili laana na dhambi zenu zitoshe kuwaangamiza na vizazi vyenu vyote
 
Singida kuna upepo lakini hakuna sio mkubwa wa kufanya nchi hii iuze vijiji! Huu umeme utakuwa very unreliable and it is only a matter of time kabla watu hawajaanza kulaumiana. Jingine ambalo watu wanakaa kimya ni capital & maintance cost. Huu mradi ni sawa na CASH COW.

Kama ni mambo ya renewable energy Tanzania ingeangalia zaidi kwenye Solar. Jua lipo January to January lakini upepo una-flactuate vibaya sana. Lakini ndio hivyo wabunge wengi wa ccm toka huo Mkoa wameshaingiza mikono na miguu yao na Tanesco wame-sign!

Wewe ndio mwekezaji? unataka kuwafundisha watu kazi zao? watu hawaingii kichwa kichwa, kumbuka hizi kampuni za uwekezajinyingi pia huwa zinapata misaada na mikopo kutoka nje ya kufanya utafiti wa njia mpya au kuboresha njia zilizopo kwenye nishati.

Hayo ya solar yapo, ya gas yapo, ya uranium yapo, ya maji yapo na hata ya kuni yapo, umeshausikia umeme unatokana na kuni na majani yanayoanguka porini? basi upo.

Technology yake inaitwa Expander na kuna kampuni ambayo tayari inaongea na watu wa Tanzania kuhusu kuja kuwekeza Tanzania kwa kuni na majani yanayoanguka hovyo msituni tu na si za kukatwa kwenye miti. Tena mmoja wa hao wanaofanya utafiti wa kampuni hiyo ni aliyekuwa mwanzilishi na "MD" wa Artumas inayofuwa umeme wa kutumia Gas Mtwara.

Kuweni "open minded" kwenye wawekezaji wanaotumia njia mbadala, kuna nchi nyingi kwa sasa zinatumia umeme wa upepo kwa miaka na teknolojia inazidi kukuwa kila siku, sasa hivi kuna walikwisha anza kurusha vishaada vya kufuwa umeme wa upepo huko juu kwa juu. wewe kaa tuu, hakuna upepo sijui solar sijui nini. Funguka.
 
Ccm jitahidini kuiuza nchi yetu ili laana na dhambi zenu zitoshe kuwaangamiza na vizazi vyenu vyote

Hivi huo umeme ukifuliwa utakwenda kwa wawekezaji? fungukeni kidogo, kama hamna cha kusema au kuandika bora mkae kimya.
 
Tatizo siyo kuletewa au kutokuletewa umeme. Naamini watu wote wangependa kuletewa umeme. Tatizo la msingi ni jinsi huyo mwekezaji atakavyopewa hiyo ardhi. Je, sheria zote za ardhi zitafuatwa? Watu watafidiwa kihalali? Tumeshuhudia mara nyingi serikali yetu ikinyanyasa wananchi wake in favour of wawekezaji. Tunachotaka na sheria zifuatwe.

Kwanini uandikie mate na wino upo? si ukawasimamie walipwe kihalali. Unangoja nini? ni wapi Serikali iliponyanyasa wananchi bila sheria? au ukifanya maandamano uliyoambiwa usifanye ukila marungu na mabomu ya moshi unasema unanyanyaswa? Funguka.
 
Mkuu umenichekesha hyo meno kutoka mdomoni kwani nna rafiki angu kutoka hapo Singida nae meno yamemtoka nje kwani tatizo nini?

mkuu hawa wanyaturu waraukapo kuelekea mashariki ule upepo mkali uvumapo huwalazimu kuivuta ngozi ya uso kwa jitihada ya kuzuia upepo usiibughudhi ama kuidhuru mboni, hupunguza ukodoaji wa hayo macho! kwa jinsi hiyo muundo wa midomo hutanuka kwa kushoto na kulia, kwa mfano wa tabasam, mpangilio wa meno hubweteka taratibu ulimi huyasukuma meno ya juu na kuyafanya hatimaye kutokeza nje. wanyaturu amkeni, nyalandu anawauza mngali hai!
 
Kuletewa umeme ndiyo mmekwisha, ama kweli waswahili hunena "mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi".

ardhi ina thamani ya maisha ya watu, watu hawawezi kuishi kwenye umeme! wanaishi juu ya ardhi. ccm ni adui wa tanganyika.
 
Hivi wale wazee wa EAC wameshalipwa mafao yao?

Je, wale waliofukiwa Shinyanga ndio basi?
 
ardhi ina thamani ya maisha ya watu, watu hawawezi kuishi kwenye umeme! wanaishi juu ya ardhi. ccm ni adui wa tanganyika.

Kwani huko wanakohamishiwa wanapelekwa juu ya nguzo za umeme? tena si kuhamishwa ni kusogezwa tu, kama vile inavyopitishwa barabara, watu huhamishwa kusogezwa na si kuhamishwa mji wala wilaya.

Naona hujui kuhamishwa wewe, haukuwepo wakati wa nyerere na vijiji vya ujamaa? basi hata hukuyasoma? kule ndyo kulikuwa kuhamishwa kwa nguvu, ukipenda usipende, unaweza kutolewa wilaya moja ukapelekwa nyingine bila kulipwa wala kujengewa mnatupwa maporini muanze wenyewe kila kitu. Tumetoka mbali kijana, hao wanaletewa neema wanalalamika, ama kweli. Hamsadifiki.
 
Usipende kudharau watu meno kutoka nje ndo umeona point ya kuchangia?

kuna ukweli unaofanana na dharau, kama unakuwa muhanga wa huo ukweli pole, lakini meno sii point pekee kwenye bandiko langu, mnanyang,anywa ardhi mtaishia kuwa mbojo!
 
Back
Top Bottom