Singida: Watu 14 wafariki na watatu kujeruhiwa ajali ya Lori na hiace

I see yani nimepata mshituko kujua ni familia ya wifi yangu.....

Binti wa Kaka yangu kafariki akiwa anapelekwa hospital

I see

Kifo kikifika hakuna pa kukwepea jaman

Just imagine mtoto yuko form 1 kung'ang'ania kwenda kwenye harusi anarudi marehemu.....dah!
 
Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa Singida, Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga barabarani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿‍♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi so msiniombe picha.

======
Ajali ya Lori aina ya Scania na Hiace imeacha watu 14 wakifariki dunia na watatu majeruhi. Ajali hiyo imetokea Kijiji cha Mkiwa wilaya ya Ikungi majira ya saa 9:30 Alasiri.

Dereva wa Hiace alitaka kulipita 'overtake' gari la mbele yake bila mafanikio na kukumbana na lori uso kwa uso.

Majeruhi watatu wanatibiwa hospitali ya wilaya ya Manyoni.

Kwa habari hiyo Singida: Watu 14 wafariki na watatu kujeruhiwa ajali ya Lori na hiace
Na habari hii IGP Simon Sirro umepewa taarifa yaliyotokea Kijiji cha Kimange leo
Namwona RPC anajipanga kisaikolojia, very soon atapewa dose yake
 
Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa Singida, Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga barabarani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿‍♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi so msiniombe picha.

======
Ajali ya Lori aina ya Scania na Hiace imeacha watu 14 wakifariki dunia na watatu majeruhi. Ajali hiyo imetokea Kijiji cha Mkiwa wilaya ya Ikungi majira ya saa 9:30 Alasiri.

Dereva wa Hiace alitaka kulipita 'overtake' gari la mbele yake bila mafanikio na kukumbana na lori uso kwa uso.

Majeruhi watatu wanatibiwa hospitali ya wilaya ya Manyoni.
Daaa! Ilikuwa hatari! Picha utafikiri ni helicopter iliyo-crash, duuu!
 
I see yani nimepata mshituko kujua ni familia ya wifi yangu.....

Binti wa Kaka yangu kafariki akiwa anapelekwa hospital

I see

Kifo kikifika hakuna pa kukwepea jaman

Just imagine mtoto yuko form 1 kung'ang'ania kwenda kwenye harusi anarudi marehemu.....dah!
Ooh.. poleni sanaaa

Mwenyezi Mungu awarehemu marehemu na atujaalie na sisi mwisho mwema.

Hakika ya kifo ni haqi na kila nafsi itaonja umauti..
 
Back
Top Bottom