Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,497
- 1,133
- Thread starter
- #21
Yah kuna kijiji kinaitwa Nkuhi sasa eneo nyuma kidogo ya kijiji ukiwa unaelekea Ikungi kilomita 60 kutoka ManyoniMkuu imetokea wapi
Yah kuna kijiji kinaitwa Nkuhi sasa eneo nyuma kidogo ya kijiji ukiwa unaelekea Ikungi kilomita 60 kutoka ManyoniMkuu imetokea wapi
Na mimi nimeiona pia, sema nilikuwa usafirini pia, sijui kama yupo aliyepona kutoka kwenye hiyo Hiace kulingana na ilivyoharibika.
Unataka ikamilikeje, subiri matukio kesho usikilizehabari haijakamilika,inasema singida,singida wapi? lini? nani amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo?
Halafu wewe wa ajabu sijawahiona. Amekwambia ameona kwa macho yake mwenyewe we unataka nani tena aliyethibitisha? Nyie ndio wale wa kukariri eti mpaka usikie sauti ya kamanda fulani wa polisi kasema!!!habari haijakamilika,inasema singida,singida wapi? lini? nani amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo?
Idiotic comment from an idiot,by the way my all victims rest in peaceCcm wameanza kutoa kafara
Hahahaaaa naona jiwe gizaniIdiotic comment from an idiot,by the way my all victims rest in peace
Biased mind!Ccm wameanza kutoa kafara
Duh mbaya sana hii. Haya mambo ya ndugu kupanda gari moja ni hatari wakati mwingine ajali inapotokea.Mbaya zaidi watu 14 wote waliopoteza maisha ni ndugu wakielekea harusini kutokea Mabatini Mwanza
Mbaya zaidi watu 14 wote waliopoteza maisha ni ndugu wakielekea harusini kutokea Mabatini Mwanza
So sad wajameni.Watu 8 familia moja, watu 6 ni majirani walioalikwa kusindikiza.
I stand correctedWatu 8 familia moja, watu 6 ni majirani walioalikwa kusindikiza.