Quanta
Member
- Dec 31, 2011
- 55
- 24
Ndugu zangu wasomi na wapenda maendeleo katika mkoa wetu tumeridhika au ndo vihela vya zimamoto kutoka kwa akina Mwigulu,Dewji, Nyalandu na akina Chiligati vimetutosha? Singida mjini,Kyengege, maji ni kitendawili, hospital ya mkoa na hosptal ya Sokoine dawa zimepelekwa madukani,vituo vya afya kwetu Ntwike ,Shelui na Mgongo vilivyopo IRAMBA mambo yaleyale .Jaman Singida tunawapa kiburi sana hawa magamba let us CHANGE.