Singida: Polisi waua "Kichaa" kwa risasi Ikungi mjini

Singida: Polisi waua "Kichaa" kwa risasi Ikungi mjini

Wewe umejua huyo alikuwa kichaa???
Walioripoti wote wamesema ni kichaa. Hapa namaanisha walioripoti version zote za story hii so far. Wale wanaolaumu polisi kwa kutumia nguvu na kuua pasipo sababu wamedai "kichaa" alikuwa kafungwa mikono na miguu. Wale wanaodai polisi waliua katika kunusuru maisha yao wanadai "kichaa huyo" alikuwa hajafungwa mikono na alikuwa anapiga majambia hatari kuelekea kwenye vifua vyao. Kifupi hapa tumeambiwa ni kichaa, na hata uzi unasema ni kichaa. Kama na wewe una version tofauti unaweza kusimulia tukaitathmini pamoja na zilizotangulia.
 
Kwa nini unamwita kichaa?? Wewe daktari? Umempima?? Huyo anafamilia yake ujuwe!!
Kumshambulia mgonjwa wa akili(kama taarifa ilivyotolewa na vyombo vya habari) kwa kumpiga risasi mpaka kumuua.
Kwako ina ingia akilini?
 
Huyo sio ndugu yake kabisa na Tundu LISU kweli? Hebu wekeni picha wanaweza kuwa wanafanana sana
People's power
Ndugu wananchi tumekuwa tukipambana ktk kuikomboa Tanzania kiuchumi, kisiasa na Kijamii.
Watanzania wenzangu ni muda wa mabadiliko. Tanzania tunakabiliwa na maadui 4 wa maendeleo nao ni ccm, ujinga, maradhi na umasikini.
-Wananchi ccm ni mzigo na kimeshazeeka na hakifao kuwepo madarakani.
Angalien watoto wenu mnaowategemea wamefutiwa ajira, je huyo raisi ana nia ya dhati kweli kuikomboa Tanzania? Chagua Chadema kwa Maendeleo. Ajira za serikali zitakuwa zinatolewa mwezi wa 1 kwa kila mwaka tutaajiri watu weng sasa. Mkichagua Ccm mtabaki hiv hiv hakuna ajira. Huyo mnayemsifiwa kafuta ajira na hatoajiri. Nani kaajiriwa mpaka sasa?
-Suala la mikopo kwa wanafunzi limekuwa ni kilio, watoto wengi wanatoka ktk familia za chini. Onen watoto wenu wapo nyumbani sasa hivi na wamekosa mwelekeo kbsa. CHADEMA TUTATOA 50% KWA KILA MWANAFUNZI ANAYEINGIA CHUONI
-Suala la HELSB 15% tutarudisha ktk asilimia za mwanzo 8% na hii italeta haueni kwa wafanyakazi.
PEOPL'S POWER
Jaman ndugu wananchi increment zenu meshapewa? Nilishangaa sana watu weng bado wanakimbizana na chama kilichozoeeka na chenye mawazo ya kimasikini. !eo hii ni october 25, 2019 bado hamjapewa increment, hamjapandishwa madaraja. Polen sana kwa uhakiki wa wapiga dili wa ccm. CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO
Walimu poleni sasa kwa kupigishwa deki, huu uuonevu mnabid muukomeshe kwa kuichagua chadema. People's power
Huyo mliyemchagua kafanya nn mpaka sasa hivi. Ona sasa sukari mnanunua 1 kilo kwa 3,000.
Wanakagera mpoooooooooooooooooooo
Najaribu tu Wala usiogope mwanaccm. 2019 itakuwa poa sana.
 
Rpc atasema kichaa alianza kuwashambulia Polisi na wao wakajibu mapigo kwa kumpiga risasi na alifariki wakati akipelekwa hospital.
Tena kitu chenye ncha kali afu alikua anaongea maneno ya kchochez yenye kuhatarisha hali ya usalama wa muungano wetu
 
Huna akili kama huyu mgonjwa wa akili unayemtetea. Wewe ni Dr. Umempima na kujua ni mgonjwa wa akili?? Kweli JF imevamiwa siyo kwa Great Thinkers anymore!!
Asante kwa matusi.
 
Hakuna polisi wa kumpiga risasi. Mtu ambaye amefungwa kamba, tena kichaa tena walipigiwa simu na kuambiwa taarifa za huyo kichaa.

Hii habari ni uzushi tu, anaweza kuwa ameuawa lakini si kwenye mazingira hayo uliyosema

Maelezo ya kamanda wa mkoa mimi binafsi hayaniingii akilini kabisa. ni ya kutengenezwa haya ili kuficha ukweli wa askari kufanya mauaji.

Askari inaonyesha walikuwa ni wengi sasa iweje washindwe nguvu ya mtu mmoja. Eti amemuangukia na kutaka kumchoma askari kisu Ptyuuuuuuuuu!!!!!!

Siapati picha kabisa huu ni uzembe wa maaskari na hapa kamanda anatetea askari wake au amepewa maelezo ambayo yana utata.
 
Inaonekana polisi wenyewe ulikuwa mwezi mchanga.Haingii akili polisi 7 wenye mafunzo,wenye bunduki wakashindwa kumdhibiti kichaa aliyeshika kisu tuu.Hata angekuwa askari mmoja tena bila silaha,alitakiwa kumdhibiti tena bila hata kumjeruhi.Polisi wetu ni wa kudhibiti upinzani tuu na kuonea raia.Hata mkivamiwa na kuuwawa poa tu hamna mana.Mmemuua kichaaa,mna laana.
 
Kwa hali ilivyo unategemea hili swali walijibu kweli?? Seriously??

Mpaka sasa hawajasema chochote nafikiri wanatafuta sababu ya kusema!
Hata wakisema mgonjwa alikuwa na kisu (silaha) je polisi na mafunzo yenu yoooooooooote mnashindwa kumpokonya Kichaa kisu??? Tena mapolisi zaidi ya 7???
Hovyooooooo ushuzi mtupu. Halafu maelezo alivyoyapamba sasa duuuuu mpk yanatia wasiwasi. Mishenzi hii mijamaa
 
Nategemea wote mmeshapata taarifa iliyopelekea huyo kichaa kuuawa.Njooni hapa na mrejesho tuanze upya kujadili hoja kama askari naye asubiri kufa ndo kichaa akamatwe. Kwa wanasheria tusaidie justifiable homicide ni deffence kipindi gani?Tuache ushabiki uchwara mpaka wote tuishio ikungi tunaonekana kuwa ni vichaa.
 
Nategemea wote mmeshapata taarifa iliyopelekea huyo kichaa kuuawa.Njooni hapa na mrejesho tuanze upya kujadili hoja kama askari naye asubiri kufa ndo kichaa akamatwe. Kwa wanasheria tusaidie justifiable homicide ni deffence kipindi gani?Tuache ushabiki uchwara mpaka wote tuishio ikungi tunaonekana kuwa ni vichaa.
Bado polisi ni vichaa,haiwezekan watu 7 ,mafunzo na bunduki washindwe kumdhibiti kichaa mmoja tu,walishindwa hata kumpiga risasi ya mguu? Bado polisi mmelaaniwa.
 
Sasa kamanda ,tena mama Mgiligimba ,taalifa ya tukio hilo uliihakiki?angalia vijana wako wasije wakakupeleka kichakani
 
Ngoja tusubiri RPC atasemaje .....tusihukumu kabla hatujawasikuliza
Huwa unawaamini? Sikiliza story.zao.
Basi Tu hawajui walitakiwa kwenda Bongo Movie kutengeneza.Movie story! Wako Na vipaji vya kubuni story!
 
Back
Top Bottom