Singida: Polisi waua "Kichaa" kwa risasi Ikungi mjini

Singida: Polisi waua "Kichaa" kwa risasi Ikungi mjini

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Singida Umetoa taarifa ya kupigwa risasi mgonjwa wa akili wilayani Ikungi baada ya kujeruhi watu wanne na hatimaye kwenda kuingia ktk kibanda.

Polisi walipofika Kamanda anasema Polisi walimsihi ajisalimishe kwa hiari lakini alikaidi amri na kumfuata Polisi akiwa na kisu mkononi.

Aliongeza Kamanda wa Polisi Mkoa kuwa Polisi alipokuwa anarudi nyuma alijikwaa na kuanguka halafu Mgonjwa akataka kumchoma Kisu Polisi kifuani ssasa Polisi katika kujihami akampiga risasi ya Tumbo ikitokea nyuma na kufariki huyo mgonjwa.

Swali langu:

1.Polisi wetu hawana mbinu za kum arrest MTU mwenye mgonjwa wa akili?

2.Tutawaua wenye ugonjwa wa akili wangapi kama wasipotii amri pale wakihatarisha maisha ya watu?

3.Naomba Polisi wajiongeze kitaaluma kunapotokea kunatakiwa Kudhibiti na kum arrest mgonjwa wa akili.

Mgonjwa wa akili ana haki kama mwanainchi mwingine yoyote yule

Taarifa hii nimesikia Redio free Africa matukio asubuhi ya leo.16/03/2017
 
Usikute na hao polisi walikua wagonjwa wa akili.
Wakapimwe akili
 
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Singida Umetoa taarifa ya kupigwa risasi mgonjwa wa akili wilayani Ikungi baada ya kujeruhi watu wanne na hatimaye kwenda kuingia ktk kibanda.

Polisi walipofika Kamanda anasema Polisi walimsihi ajisalimishe kwa hiari lakini alikaidi amri na kumfuata Polisi akiwa na kisu mkononi.

Aliongeza Kamanda wa Polisi Mkoa kuwa Polisi alipokuwa anarudi nyuma alijikwaa na kuanguka halafu Mgonjwa akataka kumchoma Kisu Polisi kifuani ssasa Polisi katika kujihami akampiga risasi ya Tumbo ikitokea nyuma na kufariki huyo mgonjwa.

Swali langu:

1.Polisi wetu hawana mbinu za kum arrest MTU mwenye mgonjwa wa akili?

2.Tutawaua wenye ugonjwa wa akili wangapi kama wasipotii amri pale wakihatarisha maisha ya watu?

3.Naomba Polisi wajiongeze kitaaluma kunapotokea kunatakiwa Kudhibiti na kum arrest mgonjwa wa akili.

Mgonjwa wa akili ana haki kama mwanainchi mwingine yoyote yule

Taarifa hii nimesikia Redio free Africa matukio asubuhi ya leo.16/03/2017

Huna akili kama huyu mgonjwa wa akili unayemtetea. Wewe ni Dr. Umempima na kujua ni mgonjwa wa akili?? Kweli JF imevamiwa siyo kwa Great Thinkers anymore!!
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Yah
How can the qualified professional police do such a mad thing?
Au kwako inaingia akilini?
It depends with the circumstance of the incident itself! And you can blame after you have investigated the incident not just by hearing from the media. This is how great thinker need to act on it.....!!
 
Hakuna polis ambae anaweza kumpiga risasi mtu yoyote ambae tayar yupo ktk hali ya utulivu....walikuwa askar wawili ambapo huyo mtu alikuwa ameshawajeruhi watu kwa kisu polis walipoenda kutaka kumzuia hakuskia akawa anamfata polis amchinje yule askar akapiga risasi juu ila hakusikia askar akarud nyuma akaanguka yule jamaa akampiga kis askar na alipotaka kumpiga kisu kingine akatokea askari anaona kile kitendo ungekuwa wew askar ungeangalia mwenzio anavyofariki ba unauwezo wa kumuokoa.....
Wewe unasema hakuna polisi anayeweza kufanya hivyo kwa kichaa?
Kama waliweza kumwona Daudi Mwangosi aliyekuwa na Kamera kama tishio kwao, itakuwaje kichaa hata kama amefungwa kamba?
Ni kweli hakuna POLISI anayeweza kufanya hivyo lakini "polisi" wetu hiyo ni kawaida sana kwao.
 
It depends with the circumstance of the incident itself! And you can blame after you have investigated the incident not just by hearing from the media. This is how great thinker need to act on it.....!!
Kama umefatilia moja ya sheria ya polisi,anaruhusiwa kumpiga mtu/adui yake risasi endapo yule mtu ana risasi na kama huyo adui hana risasi ila ana silaha au hana silaha lakini analeta madhara anaweza akampiga hata kwenye mkuu/paja tena only 1 bullet.
 
Kama umefatilia moja ya sheria ya polisi,anaruhusiwa kumpiga mtu/adui yake risasi endapo yule mtu ana risasi na kama huyo adui hana risasi ila ana silaha au hana silaha lakini analeta madhara anaweza akampiga hata kwenye mkuu/paja tena only 1 bullet.
Sheria ipi hiyo inataja risasj?? Hujui kitu waachie wanaojua fanya uliyo na uwezo nayo!
 
Wangempiga risasi ya mkono uliokuwa na kisu nini kingetokea? Siyo mbaya maana hiyo ni oda kutoka..... Ya kuua raia. Ikiwa jambazi pamoja na silaha zake wananchi wanawaua ila huyu anasilaha na amejeruhi wananchi hawakuona madhara sana hadi wasimuue ila polisi waliokuja ndiyo wanajua madhara zaidi. Hahahaaa
 
Wewe unasema hakuna polisi anayeweza kufanya hivyo kwa kichaa?
Kama waliweza kumwona Daudi Mwangosi aliyekuwa na Kamera kama tishio kwao, itakuwaje kichaa hata kama amefungwa kamba?
Ni kweli hakuna POLISI anayeweza kufanya hivyo lakini "polisi" wetu hiyo ni kawaida sana kwao.
Wewe umejua huyo alikuwa kichaa???
 
Sheria ipi hiyo inataja risasj?? Hujui kitu waachie wanaojua fanya uliyo na uwezo nayo!
Dah!
Haya mkuu
Ila jeshi la polisi la Tanzania linafanya sana kazi kwa mihemuka zaidi ya uweledi
Elimu inahitajika sana kwao
 
Dah!
Haya mkuu
Ila jeshi la polisi la Tanzania linafanya sana kazi kwa mihemuka zaidi ya uweledi
Elimu inahitajika sana kwao
Utajuaje kama wanafanya kazi kwa mihemuko wakati sheria yenyewe huijui?
 
Utajuaje kama wanafanya kazi kwa mihemuko wakati sheria yenyewe huijui?
Mkuu
kumshambulia kichaa kwa risasi mpaka kumuua ?
Inaingia akilini kweli
 
Tumpe heshima yake alikuwa mgonjwa wa akili,inaogopesha walipofika wakamkuta amefungwa kamba wakampiga risasi za miguu na kichwani,polisi tunawahukumu kwanza kwa historia yenu lakini pia tunangoja majibu yenu,rais hapahitaji uchunguzi hapo!
 
Mbona ni majina yanatofautiana, au ni kesi mbili tofauti,

Hawa ndio polisi wenye weledi na intelijensia ya Hal ya juu tunayoambiwaga,

Wengine wale 4 kwa mwanafunzi mmoja tena form one
 
Mkuu
kumshambulia kichaa kwa risasi mpaka kumuua ?
Inaingia akilini kweli
Kwa nini unamwita kichaa?? Wewe daktari? Umempima?? Huyo anafamilia yake ujuwe!!
 
Back
Top Bottom